Ajira za walimu changa la macho

Ajira za walimu changa la macho

Niwaheri

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,481
Reaction score
5,357
Nikiwa mtaani,

Katika muendelezo wa kampeni huku wagombea wakijinadi kwa sera zao mgombea mmoja aliamua kutangaza ajira za walimu kama ilivotokea.

Baada ya hapo maombi yalifanyika huku watu wakizisubiri kwa hamu hzo ajira na kadili sku zinavoenda vijana wana uchu na ajira hzo lakini wanaona kama wanaingizwa cha kike.

Vijana hao wameenda mbali na kudai kuwa mheshimiwa huyo asipozitoa kabla ya Uchaguzi basi anaweza kuwaacha hewani au zikaenda mpaka mwakani kwa madai atakuwa anasema (msiwe na wasiwasi m ndo rahisi).

Mipango ya vijana hao wanasema ikifika 20 Oktoba mzee katulia n bora kumfyekelea mbali kwan wanaona anawazunguka na kuwachosha.

M kama mpita njia nimewaambia nyie vijana emu kuwen waungwana maana rais wetu ni mcha Mungu na mwaminifu.

Vijana nawaasa tutulie kwenye kipindi hiki cha kampain tupate vzuri sera za wagombea.
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kweli kuwa zile ni ajira


Watu wamekesha usiku wa manane ku upload vyet, gharama, toa macho sana,

Huyu mzee ni zaidi ya shetani kwa kweli
Yaan kama ndo hvo bas shetan ana afadhali,Nataka JPM utuprove wrong
 
Ajira Atatoa, hata msiwe na hofu. Ila kama watanzania vijana ni kupigania muendelezo wa Ajira hizi. Walau selikari itayo ingia madarakani iwe inatoa walau ajiara 20,000 per year.
 
Nas
Ajira Atatoa, hata msiwe na hofu. Ila kama watanzania vijana ni kupigania muendelezo wa Ajira hizi. Walau selikari itayo ingia madarakani iwe inatoa walau ajiara 20,000 per year.
Naskia application zilifikia 80,000
 
Swala ajira linamgusa kila mtu, maana kama wewe una ajira , atakuwepo binamu, shemeji, rafiki, jirani, mtoto wa dada, mtoto wa kaka, mtoto wa shemeji au mtu yeyeote wa karibu ambaye hana kazi.
 
Ajira Atatoa, hata msiwe na hofu. Ila kama watanzania vijana ni kupigania muendelezo wa Ajira hizi. Walau selikari itayo ingia madarakani iwe inatoa walau ajiara 20,000 per year.
Tunazisubiria sana aiseee
 
Mtaani kugumu halafu baba Jesca analeta utani na maisha yetu😢😢
 
Nikiwa mtaani,

Katika muendelezo wa kampeni huku wagombea wakijinadi kwa sera zao mgombea mmoja aliamua kutangaza ajira za walimu kama ilivotokea.

Baada ya hapo maombi yalifanyika huku watu wakizisubiri kwa hamu hzo ajira na kadili sku zinavoenda vijana wana uchu na ajira hzo lakini wanaona kama wanaingizwa cha kike.

Vijana hao wameenda mbali na kudai kuwa mheshimiwa huyo asipozitoa kabla ya Uchaguzi basi anaweza kuwaacha hewani au zikaenda mpaka mwakani kwa madai atakuwa anasema (msiwe na wasiwasi m ndo rahisi).

Mipango ya vijana hao wanasema ikifika 20 Oktoba mzee katulia n bora kumfyekelea mbali kwan wanaona anawazunguka na kuwachosha.

M kama mpita njia nimewaambia nyie vijana emu kuwen waungwana maana rais wetu ni mcha Mungu na mwaminifu.

Vijana nawaasa tutulie kwenye kipindi hiki cha kampain tupate vzuri sera za wagombea.
Ni bora kumchagua tundu lissu tu, ajira zile ni za uongo
 
Shetani na tapeli mkubwa sijawahi ona
Nitakuwa wa mwisho kuamini kweli kuwa zile ni ajira

Watu wamekesha usiku wa manane ku upload vyet, gharama, toa macho sana,

Huyu mzee ni zaidi ya shetani kwa kweli
 
vijana njia nyepesi kama umekosa ajira ni kujiajiri hata kama una mtaji mdogo au kujishughulisha na kilimo kwa mtaji mdogo Tanzania tuna mapori mengi na yana rutuba yakutosha,, Vijana ki-ukweli ukitegemea ajira za MKULU/MKUU au ajira za serikali hata binafsi utachelewa na kusubiri sanaaa unaweza kushituka kichwa kina kipara na kimejaa mvi huku unasubiri ajira, ajira ikitokea iwe kama dharura/zali lisiwe jambo la kukaa tuu na kusikilizia/kusubiria.Ni ushauri tuu kwa wale walengwa&wahanga wa ajira.
 
Nikiwa mtaani,

Katika muendelezo wa kampeni huku wagombea wakijinadi kwa sera zao mgombea mmoja aliamua kutangaza ajira za walimu kama ilivotokea.

Baada ya hapo maombi yalifanyika huku watu wakizisubiri kwa hamu hzo ajira na kadili sku zinavoenda vijana wana uchu na ajira hzo lakini wanaona kama wanaingizwa cha kike.

Vijana hao wameenda mbali na kudai kuwa mheshimiwa huyo asipozitoa kabla ya Uchaguzi basi anaweza kuwaacha hewani au zikaenda mpaka mwakani kwa madai atakuwa anasema (msiwe na wasiwasi m ndo rahisi).

Mipango ya vijana hao wanasema ikifika 20 Oktoba mzee katulia n bora kumfyekelea mbali kwan wanaona anawazunguka na kuwachosha.

M kama mpita njia nimewaambia nyie vijana emu kuwen waungwana maana rais wetu ni mcha Mungu na mwaminifu.

Vijana nawaasa tutulie kwenye kipindi hiki cha kampain tupate vzuri sera za wagombea.
Kama watampa kura kwa sababu ya huto tu ajira tuwili tutatu basi hao waajiriwa watakuwa hawajitambui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom