James_patrick_
Senior Member
- Mar 20, 2017
- 106
- 194
Ajira za kuwapata hawa wafanyakazi wa sgr zilitangazwa wapi jaman?tuna dada zetu mavyeti yanaoza ndani..utani huo mnaleta.
Wa miaka mingi hao unaona kabisa watoto wabichi haoHao ni TRC wana wafanyakazi wao wa miaka mingi toka kwenye train nyingine, so wamehamishwa tu wale wale
Kabisa, watoto wa form hawa kabisaWa miaka mingi hao unaona kabisa watoto wabichi hao
Nani kakuambia TRC ina wazee tu ?Wa miaka mingi hao unaona kabisa watoto wabichi hao
Hao mabinti kumbe ni wafanyakazi wa siku nyingi wamehamishwa tuu? Labda walianza kufanya kazi wakiwa na miaka 10.Hao ni TRC wana wafanyakazi wao wa miaka mingi toka kwenye train nyingine, so wamehamishwa tu wale wale
Coach attendants wa TRC kwenye ordinary train ni wanaume.Hao ni TRC wana wafanyakazi wao wa miaka mingi toka kwenye train nyingine, so wamehamishwa tu wale wale