fullcup
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 806
- 2,182
Jamani kama kura zenu nimewapa tena bila kuwachanganyia. Naomba mniajiri sasa maana maombi nilituma tena licha ya kuwa na shahada niliomba kufundisha vidudu yaani shule ya msingi.
Naomba msinicheleweshee sana jamani maana nitaenda kujimaliza kisaikolojia maana ninasongwa sana na mawazo.
Nimejiajiri sana lakini sitoboi nipeni ajira nikakope benki nijenge maana umri unanitupa mkono na naishi kwenye nyumba za mbavu za mbwa.
Naomba msinicheleweshee sana jamani maana nitaenda kujimaliza kisaikolojia maana ninasongwa sana na mawazo.
Nimejiajiri sana lakini sitoboi nipeni ajira nikakope benki nijenge maana umri unanitupa mkono na naishi kwenye nyumba za mbavu za mbwa.