Ajira za ualimu mwaka 2013/2014

Ajira za ualimu mwaka 2013/2014

josephangetile

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
101
Reaction score
20
aisee naombeni kuuliza kunatetesi zimeenea mtaani eti kwa mwaka huu ajira za ualimu zinatoka mwezi huu january na tena wiki hii kuanzia tarehe 19 mwezi huu, je kuna ukweli juu ya hili suala?
wale wa kukatisha watu tamaa, kukosoa au kuumiza watu kwa majibu ya hovyo tafadhali ka hujui kaapembeni!!!!

naomba kuwasilisha!!!
 
Mi mwenyewe nilisikia ni mwezi wa kwanza, tena kwa kuambiwa na wahusika sasa sijajua ni lini katikati ya mwezi huu au mwishoni!
 
Kuwa na subira mtaajiriwa tu.karibu Ukerewe tusaidiane kufundisha.
 
mwaka huu hazitoki selekali haina hela ya kuajiri mpaka mwakani!
 
Back
Top Bottom