Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,775
Heshima kwenu wadau wa Jf.... Naamini forum hii ni zaidi ya Google kwa hapa Bongo maana ina kila kitu kama huamini pitia https://www.jamiiforums.com/habari-...i-kujadiliwa-kabisa-hapa-jf.html#post11812795 Leo nahitaji kujua Ajira za ualimu 2015 zitatoka lini? Mtaani hali si hali kwa anayefahamu hata mwezi tu anijuze huenda ntapata moyo..... Plz.