mm najua watu wanafanya kazi kwenye huo mgodi tayari labda production yao sio kubwa sana ndo hawaajili sana coz kuna my friend graduate mechanical engineer anapiga mzigo since july up t now vuta subira kaka pesa yao ni ndefu sana kwa hiyo unaweza usione hata matangazo yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.