Ajira za shanta gold mine

Ajira za shanta gold mine

Gogoo

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
232
Reaction score
35
kwa anaejua naomba msaada mgodi huo inaanza mwezi gani. msaada kwa muelewa kuhusu hilo
 
kwan huwa wana muda maalum kwny mwaka ndo wanaajili???
Mi ninavyoelewa wanatoaga ajira muda wowote ule wakiwa na uhitaji.
 
shanta bado production yao ni ndogo sana hata truck wanazotumia ni ndogo sana kwaiyo pit ikisha tanuka wata ajiri,subili sana
 
mm najua watu wanafanya kazi kwenye huo mgodi tayari labda production yao sio kubwa sana ndo hawaajili sana coz kuna my friend graduate mechanical engineer anapiga mzigo since july up t now vuta subira kaka pesa yao ni ndefu sana kwa hiyo unaweza usione hata matangazo yao
 
Back
Top Bottom