Naipuli
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 266
- 110
Habari waungwana.
Ningependa kufahamu kama wale waloomba Ajira kupitia Mkapa Fellows 2 kwa Mikoa ya Simiyu wameshaitwa kazini au la. Kwani ktk Tangazo lao walisema kwamba watatangaza majina ya watakaopata nafasi Tarehe 24.3.2015 kupitia tovuti yao lkn naona kimya hadi sasa.
Naomba mwenye ufahamu kuhusu hili anijuze.
Ningependa kufahamu kama wale waloomba Ajira kupitia Mkapa Fellows 2 kwa Mikoa ya Simiyu wameshaitwa kazini au la. Kwani ktk Tangazo lao walisema kwamba watatangaza majina ya watakaopata nafasi Tarehe 24.3.2015 kupitia tovuti yao lkn naona kimya hadi sasa.
Naomba mwenye ufahamu kuhusu hili anijuze.