X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,729
- 12,362
Opposite na CBEHii taesa ipo maeneo gani
hakuna kitu kama hicho...!Msisahau rushwa bong hawaangaliag vigezo
Lipo kakague vizuriMbona kwenye website yao amna tangazo
Upo sahihi kabisa mkuu, mimi ni miongoni mwa watu hao, nimefanya kila kitu mpaka interview zao toka January mpaka leo hakuna loloteTaesa hii hii Tunayoijua ama nyingine? Hahahha nicheke kwanza. Hii Taasisi imekuwa kinara kuwakatisha wahitimu na vijana Tamaa ya maisha badala ya kusaidia Vijana. Huku sekta ya kazi na Ajira ikiendelea kuchafuka.
Wengi ninaofahamu waliokamilisha Usajili wakapatiwa interviews na wengine kupatiwa Trainings wametelekezwa huku Taasisi na Sekta za umma na binafsi zikiwa na upungufu mkubwa wa Rasilimali watu.
inaUpo sahihi kabisa mkuu, mimi ni miongoni mwa watu hao, nimefanya kila kitu mpaka interview zao toka January mpaka leo hakuna lolote
Nahisi wameifuta...zilikuwepoMbona kwenye website yao amna tangazo
Mkuu acha tu yaan Taesa ni scan tu hamna chochote si internship wala ajira wanaweza kutafutiaNinamsihi sana sana kaka yangu Cyprian Luhemeja na waziri mteule au mpya wa sekta ya kazi vijana Ajira na watu wenye ulemavu haswa vijana na ajira, kuimulika sana sana hii taasisi kwa jicho la Kizalendo na Utu. Wakiwa kama Rika moja na vijana wenzao ili kubaini uozo na madudu yaliyomo katika Taasisi hii ambayo walikuwa kitengo sasa wanapigania na kujinadibu kuwa mamlaka wakilenga kupatiwa Fungu kubwa zaidi huku wakiwa vinara wa kukatisha vijana wasomi Tamaa za maisha.
mkuu Mtu mbadi shida ni Upendeleo, na kutowajibika kikamilifu. Mbaya zaidi asilimia 90 ya Ofisi hii ni Rika la vijana. Inasikitisha na kufedhehesha sana.
ina