Mzee Chapuuka
Member
- Apr 21, 2017
- 97
- 243
Salaam wana JF,
Siku kadhaa nyuma niliona taarifa kwamba serikali ipo mbioni kutangaza ajira 15 elfu za dharura ili kujaza upungufu wa watumishi waliotumbuliwa kwa vyeti feki cha ajabu hadi sasa hakuna taarifa nyingine au zile zilikua sound tu za serikali kama kawaida yao.
Tujuzane!
NB: Sisubiri ajira hizi nimeuliza tu sitaki mapovu hapa.
Siku kadhaa nyuma niliona taarifa kwamba serikali ipo mbioni kutangaza ajira 15 elfu za dharura ili kujaza upungufu wa watumishi waliotumbuliwa kwa vyeti feki cha ajabu hadi sasa hakuna taarifa nyingine au zile zilikua sound tu za serikali kama kawaida yao.
Tujuzane!
NB: Sisubiri ajira hizi nimeuliza tu sitaki mapovu hapa.