Oneya Fuko
Member
- Apr 7, 2011
- 24
- 2
Kama tumefikia Hatua Hii nadhani tumevuka mpaka.
Nadhani Kuwa ipo siku mtu atatakiwa kutakiwa kupeleka vyeti vya D.N.A kwenye interview. this is invasion of Privacy.
Assistant Researcher Job in Dar Es Salaam, Tanzania
Assistant Researcher
Consolatha Consultants ( Tz ) LTD.
Date Listed: Oct 8, 2012
Email Address: Click to Email
Phone: +255 712 224 139
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Oct 16, 2012
Start Date: Nov 01, 2012
Position Description:
Anahitajika ASSISTANT RESEACHER mwenye sifa zifuatazo :
1. Awe wa jinsia ya KIKE mwenye umri wa miaka 20 hadi 45.
2. Elimu Ya Kidato Cha Sita na kuendelea.
3. Uwezo wa kuwasiliana kwa ufasaha kwa lugha za kiswahili na kiingereza.
4. Awe amewahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja na kupatwa na madhara AU
5. Awe mwanamke ambaye yupo ndani ya mahusiano ya jinsia moja, yupo addicted na mahusiano ya jinsia moja na anatamani sana kuondokana na tabia hiyo ila anashindwa.
5. Awe tayari kusafiri sehemu yoyote Tanzania.
naombeni maoni yenu wanajamii forum
Nadhani Kuwa ipo siku mtu atatakiwa kutakiwa kupeleka vyeti vya D.N.A kwenye interview. this is invasion of Privacy.
Assistant Researcher Job in Dar Es Salaam, Tanzania
Assistant Researcher
Consolatha Consultants ( Tz ) LTD.
Date Listed: Oct 8, 2012
Email Address: Click to Email
Phone: +255 712 224 139
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Oct 16, 2012
Start Date: Nov 01, 2012
Position Description:
Anahitajika ASSISTANT RESEACHER mwenye sifa zifuatazo :
1. Awe wa jinsia ya KIKE mwenye umri wa miaka 20 hadi 45.
2. Elimu Ya Kidato Cha Sita na kuendelea.
3. Uwezo wa kuwasiliana kwa ufasaha kwa lugha za kiswahili na kiingereza.
4. Awe amewahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja na kupatwa na madhara AU
5. Awe mwanamke ambaye yupo ndani ya mahusiano ya jinsia moja, yupo addicted na mahusiano ya jinsia moja na anatamani sana kuondokana na tabia hiyo ila anashindwa.
5. Awe tayari kusafiri sehemu yoyote Tanzania.
naombeni maoni yenu wanajamii forum