nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,623
serikali itaajiri lini ?mm kada wa ccm najuta watoto wangu hawana ajira wingine wamesimamishwa kazi mwezi wa sita mwaka huu 2016 kupisha zoezi la uhakiki wa watumishi hewa mpaka mda huu wanalia njaa tu nchi hii ngumu wakati rais alisema uhakiki hauzidi.miezi miwili