Ajira polisi...soma muhimu.

Ajira polisi...soma muhimu.

Ratio imekaaaje hapo, 400 visiwani na 400 bara ina maaana wazanzibari wote watakuwa askari polisi na watapata ajira lkn bara inakuwa ni majanga na rushwa nyingi ili upate ajira ni bora ukaombeee zanzibar uwe na kipanda cha uzanzibari mkazi hata cha kununua ili upate ajira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom