BAF
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 422
- 511
Vijana mkienda kwenye interview mjiandae vizuri na sasa nimeamini sehemu yoyote waweza kupata kazi hata kwenye zile taasisi za serikali tulizokuwa tunasema hizi kazi zinawenyewe hata ukifanya intiview huwezi pata na sasa.
Nimeshuhudi haya kwa macho yangu kwa mtu aliyepata kazi pasipo Julikana na mtu yoyote Yule ktk eneo lolote lile ila ni uwezo wa kichwana aliokuwa nao.
Asante Rais wetu kwa kutengeneza mazingira ya Heshima kwa ofisi za Umma.
Nimeshuhudi haya kwa macho yangu kwa mtu aliyepata kazi pasipo Julikana na mtu yoyote Yule ktk eneo lolote lile ila ni uwezo wa kichwana aliokuwa nao.
Asante Rais wetu kwa kutengeneza mazingira ya Heshima kwa ofisi za Umma.