Neno ajira futeni kwenye kichwa cha komwe.
Nilishasema waalimu sio watawala.
Huyu katoka chuo kapangiwa shule akafundishe.
Mnategemea ataelewa nini maana ya kutokuwa na ajira.
Vumilieni tu.
Nilishasema siasa ni kama shetani, uongo mwng na ahadi kibao kutekeleza ni hewa, hawakosi sababu hawa mbwa za kudanganya wakiulzwa, Tz Siasa za hovyo ndo znazotawala na sio utashi, wanasiasa wote ni Wasengerema tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.