Ajira: Mdada Wa Kazi

Ajira: Mdada Wa Kazi

Mtoa tangazo anaonekana ameajiriwa Kwa wahindi. Nafikiri wote tunaijua mishahara ya wahindi, kwahiyo nae anaajiri kihindi hivo hvo. Najua anatamani kulipa mshahara mzuri lkn uwezo wake umekomea kwenye 50,000/= .
 
Uweli ni.kuwa 50000 ni kiwango kidogo sana kumlipa mtu ila tukubali kuwa yawezekana.naye pia anamshahara kidogo. Kuna watu wana takehome za 580,000 atoe kodi ya nyumba,usafiri,chakula,umeme.na.maji,misada kwa ndugu bado matibabu hakika utagundua kuwa hata yeye hawezi lipa mtu kiwango kikubwa.
Kwahiyo pengine.tumshauri.tu kuwa kwa sasa asitishe.huo mpango kama inawezekana halafu ajipange.pange.kwanza ila tusione.kuwa ni unyanyasaji .
 
Mtoa tangazo anaonekana ameajiriwa Kwa wahindi. Nafikiri wote tunaijua mishahara ya wahindi, kwahiyo nae anaajiri kihindi hivo hvo. Najua anatamani kulipa mshahara mzuri lkn uwezo wake umekomea kwenye 50,000/= .
Pole mkuu,sipo kwa muhindi wewe wako unamlipa shingapi?(kama umebatika kuwa naye) jitafakari hili kichwani mwako.
 
Uweli ni.kuwa 50000 ni kiwango kidogo sana kumlipa mtu ila tukubali kuwa yawezekana.naye pia anamshahara kidogo. Kuna watu wana takehome za 580,000 atoe kodi ya nyumba,usafiri,chakula,umeme.na.maji,misada kwa ndugu bado matibabu hakika utagundua kuwa hata yeye hawezi lipa mtu kiwango kikubwa.
Kwahiyo pengine.tumshauri.tu kuwa kwa sasa asitishe.huo mpango kama inawezekana halafu ajipange.pange.kwanza ila tusione.kuwa ni unyanyasaji .
hapo ndio unapokosea bring your own facts and make judgement!

Sema unamiaka mingapi?naweza kuwa naongea na mtoto wa form six,nikawa napoteza muda.
 
Huku wasichana wamejaaa, ila mtoto wa mtu kumbandua kwao kwa BEI hyo hata nauli ya kurudi ukimnyanyasa haitoshi! Wameshtukaa
 
jina lako lina-ashiria unachokisema!
kwa taarifa tu hili sio jina.
Back to topic. Naamini una ndugu wengi tu huko kijijini, mlete mmoja wapo halafu mpe hiyo 50 naamini utakuwa umemsaidia sana, acheni kudharau watoto wa binadamu.
 
....watu mboyoyo mingiiiiiii kujifanya matawi...normally hiyo 50 inakuwaga mbali na kula,kulala,matibabu..wengine hata mavazi huwa wananunuliwa!...na hii familia ni ndogo sana!
...ni fair kabisa hiyo 50!
 
....watu mboyoyo mingiiiiiii kujifanya matawi...normally hiyo 50 inakuwaga mbali na kula,kulala,matibabu..wengine hata mavazi huwa wananunuliwa!...na hii familia ni ndogo sana!
...ni fair kabisa hiyo 50!
Ivi wewe una mtoto wewe... Elfu 50 afu unasema ni sawa... Acha kudharau kazi za watu ndugu.. Kuna wadada wengine hulisha familia zao kwa kazi hizo,... So waajiri waangalie swala ongezeko la mshahara... Ebu zaa wako afu apate hio ajira,... Huo mshahara ni sosa sana uoo
 
Ivi wewe una mtoto wewe... Elfu 50 afu unasema ni sawa... Acha kudharau kazi za watu ndugu.. Kuna wadada wengine hulisha familia zao kwa kazi hizo,... So waajiri waangalie swala ongezeko la mshahara... Ebu zaa wako afu apate hio ajira,... Huo mshahara ni sosa sana uoo
....teh hee hee hee....
..we nawe walewale!
..kwahiyo sina sababu ya kurudia nilichoeleza awali!
...huo 'udogo' unalinganisha na nini?...gharama ya kula,kulala,matibabu,(sometimes mavazi),nauli.,hana bili ya maji wala umeme..vyote ni juu ya mwajiri..
..unapodai mshahara 'mdogo' unavijua vima vya mishahara kwa majority ya watu nchini?
..swali la nina/sina mtoto ni irrelevant!
 
....watu mboyoyo mingiiiiiii kujifanya matawi...normally hiyo 50 inakuwaga mbali na kula,kulala,matibabu..wengine hata mavazi huwa wananunuliwa!...na hii familia ni ndogo sana!
...ni fair kabisa hiyo 50!
Thank you kwa kuwa muelewa,na kuliona hilo.Nafikili hapa JF kuna baadhi ya watu wanaact maisha yao,so baadae niligundua na kuwapuuza.
 
mkuu hiyo hela ndogo sana kwa dada wa kazi wa kazi uangalie ubinadamu bn, mi wangu nampa 90,000 na yeye aweze kujikimu, nakushauri usitishe mpango wako au uongeze dau.
tanzania kwanza na utu kwanza.
 
mkuu hiyo hela ndogo sana kwa dada wa kazi wa kazi uangalie ubinadamu bn, mi wangu nampa 90,000 na yeye aweze kujikimu, nakushauri usitishe mpango wako au uongeze dau.
tanzania kwanza na utu kwanza.
mdada wakazi ata ishi kwangu kula,kuvaa,akiumwa na maisha ya kindugu kama tuishivyo watanzania kindugu; budget ya mshahara ni elfu hamsini.Asante kwa ushuri pia,japo kwa amount nimekomea hapo
 
Back
Top Bottom