Ajira kwa vijana na maisha bora kwa wote hii ndio Tanzania na Ahadi za JK kuondowa umaskini.

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
Polisi Yasomba Wapigadebe Posta Mpya


Juu na chini ni WAPIGADEBE wanne wamekamatwa katika kituo cha mabasi cha Posta Mpya kwa tuhuma za kuwabughudhi abiria kituoni hapo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Faustine Shilogile alisema wapiga debe hao walikamatwa juzi saa 10 jioni katika msako wa polisi uliofanywa katika maeneo mbalimbali ya Ilala.
Kamanda Shilogile aliwataja watuhumiwa hao ni Joseph James (22), Joseph Gidion (18) Magumu Kichumu (32) na Wilson Martine (25).
Katika tukio lingine, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke David Misime
 
Polisi Yasomba Wapigadebe Posta Mpya


Juu na chini ni WAPIGADEBE wanne wamekamatwa katika kituo cha mabasi cha Posta Mpya kwa tuhuma za kuwabughudhi abiria kituoni hapo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Faustine Shilogile alisema wapiga debe hao walikamatwa juzi saa 10 jioni katika msako wa polisi uliofanywa katika maeneo mbalimbali ya Ilala.
Kamanda Shilogile aliwataja watuhumiwa hao ni Joseph James (22), Joseph Gidion (18) Magumu Kichumu (32) na Wilson Martine (25).
Katika tukio lingine, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke David Misime

Mmmh mmmh mmmh! Jamani hawa si mlikua mnawatuma wakusanye zile 200,300 kwa kila gari ? Na michango ya kuwapa wazee wa flavour kila uchwau...leo vp ? Sasa yale madawa ya kulevya mtauza kweli kama mnawasumbua hv ? Haya mi naenda feri kucheki kama kile kitabu chako kiliondole wa mkuu...! Naapa naahidi mbele ya chama CHADEMA ntakulinda mpaka kufa..kwa sababu bila chadema tunaenda shimoni....! Mje mtukomboe
 
Polisi Yasomba Wapigadebe Posta Mpya


Juu na chini ni WAPIGADEBE wanne wamekamatwa katika kituo cha mabasi cha Posta Mpya kwa tuhuma za kuwabughudhi abiria kituoni hapo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Faustine Shilogile alisema wapiga debe hao walikamatwa juzi saa 10 jioni katika msako wa polisi uliofanywa katika maeneo mbalimbali ya Ilala.
Kamanda Shilogile aliwataja watuhumiwa hao ni Joseph James (22), Joseph Gidion (18) Magumu Kichumu (32) na Wilson Martine (25).
Katika tukio lingine, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke David Misime

Dr.slaa alisema sana ktk ahadi zake,kuendelea kumpa kura Mwizi No 1 wa taifa hili yule ******.NI KULIDIDIMIZA TAIFA.
 
Back
Top Bottom