Ajira kiwanda cha viatilifu kibaha

Ajira kiwanda cha viatilifu kibaha

FAFI

Member
Joined
Jun 9, 2015
Posts
36
Reaction score
0
Samahani wakuu, kuna kiwanda kipya cha viatilifu kipo kibaha.nilisikia kinahitaji watu zaidi ya 150 kwa ajili ya ajira.tulipeleka cv zetu muda mrefu tangu mwanzoni mwa mwaka huu,sasa sijui walishaita interview???na hiki kiwanda kimeshaanza kazi??
 
Back
Top Bottom