Ajira jkt

Ajira jkt

tatzo lako ubishi hapo awali ni kweli jkt walikuwa hawaajiri lakn miaka michache iliyopita ilianza kuajiri,mfano gen.mwamunyange alikuwa mwajiriwa wa jkt mpaka wakat anateuliwa kuwa jenerali,nenda pale makao makuu yao utakuta vitengo ving na watu wa ngazi au vyeo vyao vyo wanatumika,naomba unijibu jeshi lisiloajiri anaweza kupatkana major ndani ya kutumikia jkt miaka miwili? Alafu uende jitegemee sec. Unambie inawalimu wa jwtz peke yake?

Gen Mwamunyange ni mwajiriwa wa JWTZ ambaye alishafanya kazi ktk kitengo cha JKT! Nilisema mwanzo kwamba wanajeshi wote unaowaona JKT ni waajiriwa JWTZ na JKT ni part ya JW! Sasa kp kicchoeleweka hapo? JKT way through ya kwenda JW. Kuhusu labda waalimu Jitegemee wale ni raia na cyo askari ila ukiona askari au afisa pale ujue ni mwanajeshi wa JWTZ
 
JKT kama JKT askari mwenye cheo cha Juu ni Serviceman au Servicegirl! Wale wenye enlisted ranks kuanzia Private hadi Afisa mteule daraja la I ujue ni mwajiriwa wa JWTZ kadhalika ukiona mtu ana officer ranks kuanzia 2nd Lieutenant hadi General huyo ni JWTZ pale JKT yupo anapita njia tu hajaajiriwa pale. JKT haiajiri maana hata hao service men/girls wanatumikia tu hawapewi mshahara bali posho tu sasa mwajiriwa gani analipwa posho bila mshahara.? ila akifanikiwa kwenda depo la JWTZ na KUAJIRIWA ndio ataanza kula mshahara! Hebu jiongeze bac kidogo.
 
JKT kama JKT askari mwenye cheo cha Juu ni Serviceman au Servicegirl! Wale wenye enlisted ranks kuanzia Private hadi Afisa mteule daraja la I ujue ni mwajiriwa wa JWTZ kadhalika ukiona mtu ana officer ranks kuanzia 2nd Lieutenant hadi General huyo ni JWTZ pale JKT yupo anapita njia tu hajaajiriwa pale. JKT haiajiri maana hata hao service men/girls wanatumikia tu hawapewi mshahara bali posho tu sasa mwajiriwa gani analipwa posho bila mshahara.? ila akifanikiwa kwenda depo la JWTZ na KUAJIRIWA ndio ataanza kula mshahara! Hebu jiongeze bac kidogo.

ivi nini maana ya kusema kitengo kiko chni ya jwtz? ungekubali tu kwamba pamoja na kuwa chini ya jwtz lakn kitengo hcho {jkt kama unavyokiita) nacho kna mamlaka ya kuajiri na utatambulikana kama mwajiriwa chini ya jkt na sio jwtz na ndo maana unaona baadh za sare zao znatofaut kdogo, naandka haya nikiwa nafaham baadh yao waliostaf wakiwa jkt na si jwtz.nashangaa unachobisha na kipi unachokubali ndg yng
 
ivi nini maana ya kusema kitengo kiko chni ya jwtz? ungekubali tu kwamba pamoja na kuwa chini ya jwtz lakn kitengo hcho {jkt kama unavyokiita) nacho kna mamlaka ya kuajiri na utatambulikana kama mwajiriwa chini ya jkt na sio jwtz na ndo maana unaona baadh za sare zao znatofaut kdogo, naandka haya nikiwa nafaham baadh yao waliostaf wakiwa jkt na si jwtz.nashangaa unachobisha na kipi unachokubali ndg yng

acha ubishi!!zamani JKT lilikuwa jeshi linalojitegemea tofauti na TPDF,hivyo walikuwa na uwezo wa kuajiri wenyewe ila haya majeshi yalikujakuunganishwa na kukubaliwa kwamba JKT itakuwa ni kitengo ndani ya JWTZ.


Kipindi JKT inakubaliwa iwe chini ya TPDF kulikuwa na watu tayari wameajiriwa kabla ya muungano huo wa haya majeshi, waliendelea kufanya kazi na ndiyo hao uliowaona wakistaffu na kukukwambia kwamba waliajiriwa na JKT.

Kwa sasa hivi JKT ni kitengo chini ya JWTZ, kazi yake ni kuandaa vijana na uzalishaji mali. Hawa vijana wanaondaliwa wanaitwa vijana wa kujitolea, hawaajiriwi na JKT ila wanapewa posho na hupewa mkataba wa miaka miwili.

Kijana wa JKT anaweza kupata kazi na kuajiriwa na taasisi mbalimbali za usalama na ulinzi kama magereza, polisi, tanapa, usalama wa taifa na jwtz.

Mtu anapataje kazi JKT?wale ambao wapo jwtz tayari wameajiriwa wanaweza kuhamishwa na kupelekwa JKT kama kituo cha kazi, pia vijana wa kujitolea wakiwa ndani ya mkataba wao hufanya usaili wa jwtz tena(kuangalia afya), ukifaulu unaenda depo ukimaliza depo ndiyo utapangiwa kituo cha kazi kama jkt, air force, pure infantry, navy.

Maafisa na askari unaowaona JKT wameajiriwa na JWTZ ila wamepangiwa kufanya kazi upande wa JKT.

Kuhusu mavazi!JKT kuna mavazi wanavaa ingawa pia wanakuwa na sare nyingine za jwtz, pia vijana wa JKT wana sare zao.

Mnaotaka kwenda jeshini usiende kwa tamaa ya hela ila uwe na uzalendo, ukienda kwa tamaa ya hela utaona pachungu. KILA LA KHERI
 
acha ubishi!!zamani JKT lilikuwa jeshi linalojitegemea tofauti na TPDF,hivyo walikuwa na uwezo wa kuajiri wenyewe ila haya majeshi yalikujakuunganishwa na kukubaliwa kwamba JKT itakuwa ni kitengo ndani ya JWTZ.


Kipindi JKT inakubaliwa iwe chini ya TPDF kulikuwa na watu tayari wameajiriwa kabla ya muungano huo wa haya majeshi, waliendelea kufanya kazi na ndiyo hao uliowaona wakistaffu na kukukwambia kwamba waliajiriwa na JKT.

Kwa sasa hivi JKT ni kitengo chini ya JWTZ, kazi yake ni kuandaa vijana na uzalishaji mali. Hawa vijana wanaondaliwa wanaitwa vijana wa kujitolea, hawaajiriwi na JKT ila wanapewa posho na hupewa mkataba wa miaka miwili.

Kijana wa JKT anaweza kupata kazi na kuajiriwa na taasisi mbalimbali za usalama na ulinzi kama magereza, polisi, tanapa, usalama wa taifa na jwtz.

Mtu anapataje kazi JKT?wale ambao wapo jwtz tayari wameajiriwa wanaweza kuhamishwa na kupelekwa JKT kama kituo cha kazi, pia vijana wa kujitolea wakiwa ndani ya mkataba wao hufanya usaili wa jwtz tena(kuangalia afya), ukifaulu unaenda depo ukimaliza depo ndiyo utapangiwa kituo cha kazi kama jkt, air force, pure infantry, navy.

Maafisa na askari unaowaona JKT wameajiriwa na JWTZ ila wamepangiwa kufanya kazi upande wa JKT.

Kuhusu mavazi!JKT kuna mavazi wanavaa ingawa pia wanakuwa na sare nyingine za jwtz, pia vijana wa JKT wana sare zao.

Mnaotaka kwenda jeshini usiende kwa tamaa ya hela ila uwe na uzalendo, ukienda kwa tamaa ya hela utaona pachungu. KILA LA KHERI

Kazi kweli kweli inahitaji moyo
 
acha ubishi!!zamani JKT lilikuwa jeshi linalojitegemea tofauti na TPDF,hivyo walikuwa na uwezo wa kuajiri wenyewe ila haya majeshi yalikujakuunganishwa na kukubaliwa kwamba JKT itakuwa ni kitengo ndani ya JWTZ.


Kipindi JKT inakubaliwa iwe chini ya TPDF kulikuwa na watu tayari wameajiriwa kabla ya muungano huo wa haya majeshi, waliendelea kufanya kazi na ndiyo hao uliowaona wakistaffu na kukukwambia kwamba waliajiriwa na JKT.

Kwa sasa hivi JKT ni kitengo chini ya JWTZ, kazi yake ni kuandaa vijana na uzalishaji mali. Hawa vijana wanaondaliwa wanaitwa vijana wa kujitolea, hawaajiriwi na JKT ila wanapewa posho na hupewa mkataba wa miaka miwili.

Kijana wa JKT anaweza kupata kazi na kuajiriwa na taasisi mbalimbali za usalama na ulinzi kama magereza, polisi, tanapa, usalama wa taifa na jwtz.

Mtu anapataje kazi JKT?wale ambao wapo jwtz tayari wameajiriwa wanaweza kuhamishwa na kupelekwa JKT kama kituo cha kazi, pia vijana wa kujitolea wakiwa ndani ya mkataba wao hufanya usaili wa jwtz tena(kuangalia afya), ukifaulu unaenda depo ukimaliza depo ndiyo utapangiwa kituo cha kazi kama jkt, air force, pure infantry, navy.

Maafisa na askari unaowaona JKT wameajiriwa na JWTZ ila wamepangiwa kufanya kazi upande wa JKT.

Kuhusu mavazi!JKT kuna mavazi wanavaa ingawa pia wanakuwa na sare nyingine za jwtz, pia vijana wa JKT wana sare zao.

Mnaotaka kwenda jeshini usiende kwa tamaa ya hela ila uwe na uzalendo, ukienda kwa tamaa ya hela utaona pachungu. KILA LA KHERI

Mkubwa wangu nafasi zitapatikana lini tupate kuomba?
 
acha ubishi!!zamani JKT lilikuwa jeshi linalojitegemea tofauti na TPDF,hivyo walikuwa na uwezo wa kuajiri wenyewe ila haya majeshi yalikujakuunganishwa na kukubaliwa kwamba JKT itakuwa ni kitengo ndani ya JWTZ.


Kipindi JKT inakubaliwa iwe chini ya TPDF kulikuwa na watu tayari wameajiriwa kabla ya muungano huo wa haya majeshi, waliendelea kufanya kazi na ndiyo hao uliowaona wakistaffu na kukukwambia kwamba waliajiriwa na JKT.

Kwa sasa hivi JKT ni kitengo chini ya JWTZ, kazi yake ni kuandaa vijana na uzalishaji mali. Hawa vijana wanaondaliwa wanaitwa vijana wa kujitolea, hawaajiriwi na JKT ila wanapewa posho na hupewa mkataba wa miaka miwili.

Kijana wa JKT anaweza kupata kazi na kuajiriwa na taasisi mbalimbali za usalama na ulinzi kama magereza, polisi, tanapa, usalama wa taifa na jwtz.

Mtu anapataje kazi JKT?wale ambao wapo jwtz tayari wameajiriwa wanaweza kuhamishwa na kupelekwa JKT kama kituo cha kazi, sasa nimekuelewa mkuu nashukuru kwa maelezo yako!
 
acha ubishi!!zamani JKT lilikuwa jeshi linalojitegemea tofauti na TPDF,hivyo walikuwa na uwezo wa kuajiri wenyewe ila haya majeshi yalikujakuunganishwa na kukubaliwa kwamba JKT itakuwa ni kitengo ndani ya JWTZ.


Kipindi JKT inakubaliwa iwe chini ya TPDF kulikuwa na watu tayari wameajiriwa kabla ya muungano huo wa haya majeshi, waliendelea kufanya kazi na ndiyo hao uliowaona wakistaffu na kukukwambia kwamba waliajiriwa na JKT.

Kwa sasa hivi JKT ni kitengo chini ya JWTZ, kazi yake ni kuandaa vijana na uzalishaji mali. Hawa vijana wanaondaliwa wanaitwa vijana wa kujitolea, hawaajiriwi na JKT ila wanapewa posho na hupewa mkataba wa miaka miwili.

Kijana wa JKT anaweza kupata kazi na kuajiriwa na taasisi mbalimbali za usalama na ulinzi kama magereza, polisi, tanapa, usalama wa taifa na jwtz.

Mtu anapataje kazi JKT?wale ambao wapo jwtz tayari wameajiriwa wanaweza kuhamishwa na kupelekwa JKT kama kituo cha kazi, sasa nimekuelewa mkuu nashukuru kwa maelezo yako!

pamoja sana, nafasi za JKT kwa sasa bado hazijatangazwa.
 
Jkt HAIAJIRI bali INAANDIKISHA vijana kwa mkataba wa miaka 2 kwa ajili ya kuwafunza stadi za kazi, uzalendo, ukakamavu, na historia ya nchi yetu. HAYO NDIO MALENGO YA JKT. Jkt ikimaliza kazi yake ndo wanapokuja wanaoajiri, kama JWTZ, MAGEREZA, POLISI , TANAPA, WATU WA MIGODI ETC. Mkataba ukiisha kabla baadhi ya vijana kuajiriwa basi wanarudi makwao kuwa raia wema na kutumia stadi walizozipata kuendesha maisha.
 
Back
Top Bottom