Ajira jkt

Ajira jkt

Elly Andrew

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
413
Reaction score
178
Ndg zangu mwenye taarifa kuhusiana na kujiunga na jkt kusikokuwa kwa mujibu wa sheria
 
Daaa! hata mimi nazitaka bwana mwenye taarfa atujuze
maana mi nafatlia xana lakn cjafankiwa lakn nataka
niandke barua ya maombi kwenda kwa MEJA JENERALI
RAPHAEL MUHUGA ambae ni Mkuu wa Jkt
 
daaa! Hata mimi nazitaka bwana mwenye taarfa atujuze
maana mi nafatlia xana lakn cjafankiwa lakn nataka
niandke barua ya maombi kwenda kwa meja jenerali
raphael muhuga ambae ni mkuu wa jkt

barua ndg yangu haitafika popote,nami nlishajaribu kwa barua but hola ,ila pana tetesi mwezi februari.
 
Post za jkt wadau toka jkon wanasema katk miez ya Dec Na January fanyen harakat I mins anzen kufatlia hapo
 
Jamani wajumbe wa jukwaa hili msaada kwa mwenye ufahamu na kuhusu mwanafunzi alyemaliza darasa la saba tanzania kuendelea na sec nchini kenya. Je kuna taratibu za kufuata? WWenzetu ada zao ziko vp?
 
Bali hufanya nn kam hawaajir?

huandaa vijana wa kitanzania kwa mafunzo ya kijeshi na stadi mbalimbali za kazi ili waweze kuajiriwa na vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama WAKIBAHATIKA kulingana na vigezo mbalimbali na wasipobahatika waweze kujiajiri wenyewe! JKT haiajiri mtu yoyote ndio maana ukimaliza miaka yako miwili ya mkatatba na hujaajiriwa bac JKT wanakutema unarudi mtaani kuanza upya! JKT siyo mwajiri na ndio maana maofisa na askari wote wa JKt ni waajiriwa wa JWTZ cyo JKT
 
huandaa vijana wa kitanzania kwa mafunzo ya kijeshi na stadi mbalimbali za kazi ili waweze kuajiriwa na vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama WAKIBAHATIKA kulingana na vigezo mbalimbali na wasipobahatika waweze kujiajiri wenyewe! JKT haiajiri mtu yoyote ndio maana ukimaliza miaka yako miwili ya mkatatba na hujaajiriwa bac JKT wanakutema unarudi mtaani kuanza upya! JKT siyo mwajiri na ndio maana maofisa na askari wote wa JKt ni waajiriwa wa JWTZ cyo JKT

Mimi ninapobaki na swali kichwani mwangu ni izo kauli za kusema "Ukibahatika unajiunga na vyombo vya usalama" Inamana asilimia kubwa ya vijana wanaomaliza miezi sita ya awali huwa hawapati nafasi au inakuwaje mpaka mtu akose apo ndo sielewi, au ni wingi wa watu? Au wanaokosa hawana elimu? Au ..... Doh
 
Ndg zangu mwenye taarifa kuhusiana na kujiunga na jkt kusikokuwa kwa mujibu wa sheria

Mbona kambi zingne wameshachukua watu,ujue kwa sasa hzi ajira za majeshi zimekua ni kujuana kwa sana,mi mwenyewe naitaji sana jwtz wandugu,2juzane 2.
 
Mbona kambi zingne wameshachukua watu,ujue kwa sasa hzi ajira za majeshi zimekua ni kujuana kwa sana,mi mwenyewe naitaji sana jwtz wandugu,2juzane 2.

Embu jaribuni kutofautisha kati ya jkt wa kujitolea na wale wa mujibu wa sheria, walioenda ni wa mujibu wa sheria!
 
huandaa vijana wa kitanzania kwa mafunzo ya kijeshi na stadi mbalimbali za kazi ili waweze kuajiriwa na vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama WAKIBAHATIKA kulingana na vigezo mbalimbali na wasipobahatika waweze kujiajiri wenyewe! JKT haiajiri mtu yoyote ndio maana ukimaliza miaka yako miwili ya mkatatba na hujaajiriwa bac JKT wanakutema unarudi mtaani kuanza upya! JKT siyo mwajiri na ndio maana maofisa na askari wote wa JKt ni waajiriwa wa JWTZ cyo JKT

nani kakwambia jkt hawaajiri ndg yng? nayo huwa inaajiri sana tu isipokuwa baadh tu,na wengne hubak kutumikia kwa muda wa miaka 2.
 
hutaki acha hulazimishwi kila la heri katika kusubiria 'ajira" za jkt

tatzo lako ubishi hapo awali ni kweli jkt walikuwa hawaajiri lakn miaka michache iliyopita ilianza kuajiri,mfano gen.mwamunyange alikuwa mwajiriwa wa jkt mpaka wakat anateuliwa kuwa jenerali,nenda pale makao makuu yao utakuta vitengo ving na watu wa ngazi au vyeo vyao vyo wanatumika,naomba unijibu jeshi lisiloajiri anaweza kupatkana major ndani ya kutumikia jkt miaka miwili? Alafu uende jitegemee sec. Unambie inawalimu wa jwtz peke yake?
 
Back
Top Bottom