Ajira jeshi la polisi

Ajira jeshi la polisi

Joined
Jul 6, 2014
Posts
33
Reaction score
1
Napenda sana kujiunga na jeshi la police.Nikiwa chuo 2013 nilijaza form lakini sikuitwa kwa sasa niko mtaani form za kujiunga zimetoka kwa wahitim tu.Je tulioko mtaani na tunamoyo wa uzalendo wa kujiunga na jeshi la polisi, tunaomba kwa njia ipi? au barua zitumwe kwa anuani ipi?
 
ingia kwenye web yao wametoa maelekezo.
 
leo tunajita kuwa tunamoyo wa uzalendo ehee

Ww jamaa mbona kinara wakukatisha watu tamaa na kukejeli. Kama huna sifa ww bdo maana bado upo..endelea kuwepo. Acha watu wajaribu bahati zao...mtaani kugumu.
Kaka alexanda jaribu kutembelea www.policeforce.go.tz utakuta maelekezo yoote pamoja na fomu ya kujaza na adress yakutuma. Licha ya huo mwaka wakumaliza ww omba...unaweza kukuta zari umeitwa interview ya september.
 
Nafasi ni kwa waliomaliza 2013 na 2014 hivo unaweza kuomba tena
 
hapana cjamkatisha tamaa watu wanao takiwa ni 2013/2014 sasa yeye anauliza nn mi mwenyewe ni wa 2013
 
Back
Top Bottom