Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
- Thread starter
- #21
Niliamka uzuri babu,.sijui wewe na bibi 'etu mkubwa...?!Na kwako pia mjukuu wangu. Umeamkaje?
Niliamka uzuri babu,.sijui wewe na bibi 'etu mkubwa...?!Na kwako pia mjukuu wangu. Umeamkaje?
Hajambo kabisa. Sema dada na kaka zako wako barabarani wanasaka ajira na viploma vyao kichwaniNiliamka uzuri babu,.sijui wewe na bibi 'etu mkubwa...?!
Inategemeana na msimamo wa mtu bro!Oouh thank you.
Niwakumbushe hakuna binadamu kigeugeu na asiye na maamuzi kama aliye na njaa.
Tufanye plan B tuu babu,.tulio mitaani na diploma zetu tuko wengi na neema ya kutuajiri wote haipo,.na kama ipo si ya leo wala kesho,.ni mchakatoHajambo kabisa. Sema dada na kaka zako wako barabarani wanasaka ajira na viploma vyao kichwani
Aah,.somo yangu mashAllah nikikuona natabasam tuu miee..Asante somo.
hahahaha kwa nn? Kama si jina nilikua nishakusahau na avatar mpyaAah,.somo yangu mashAllah nikikuona natabasam tuu miee..
Kujiajili kwa shughuli yoyote ndo mpango mzima ili mradi usiupoteze utu na dhamani yako. Anza sasa kuchunguza ni changamoto zipi zilizopo eneo lako ili uzifanyie kazi.Tufanye plan B tuu babu,.tulio mitaani na diploma zetu tuko wengi na neema ya kutuajiri wote haipo,.na kama ipo si ya leo wala kesho,.ni mchakato
Si unaona ndo nlikuwa namwita dadaako joanah ili aje apate material ikiwezekana ajitose kwenye korosho? Mi ni jiniaz sema tu K Vant zimeharibu mfumo wangu wa kumbukumbu mpaka nashindwa kukumbuka kikokotoo kinahusika na Korosho au bunge lisilo na nguvuTufanye plan B tuu babu,.tulio mitaani na diploma zetu tuko wengi na neema ya kutuajiri wote haipo,.na kama ipo si ya leo wala kesho,.ni mchakato
Najua raha uipatayo sasahivi basi natabasaaaam mwenyewe,.hahah avatar nimeamua kuja kivingine mwaka huu mpya somohahahaha kwa nn? Kama si jina nilikua nishakusahau na avatar mpya
Hahahahha babu akili yako unaijua mwenyewe, kumbe kumbukumbuku nazo zishaanza kuyeyuka,.lolSi unaona ndo nlikuwa namwita dadaako joanah ili aje apate material ikiwezekana ajitose kwenye korosho? Mi ni jiniaz sema tu K Vant zimeharibu mfumo wangu wa kumbukumbu mpaka nashindwa kukumbuka kikokotoo kinahusika na Korosho au bunge lisilo na nguvu
Siku nyingi tu. Juzi hapa nilikuwa nagombana na bibi yenu. Badala ya kuweka kwenye kikojoleo eti mi nikawa nachochea kwenye kitovu. DahHahahahha babu akili yako unaijua mwenyewe, kumbe kumbukumbuku nazo zishaanza kuyeyuka,.lol
Yeah changamoto/matatizo ndani ya jamii ndio fursa zetu wajasiriamali,.lakini je,vijana tuna maono na utayari wa kuyaona hayo??kabla hatujapeleka lawama kwa serikali...uwezo huo tunao kama vijana??Kujiajili kwa shughuli yoyote ndo mpango mzima ili mradi usiupoteze utu na dhamani yako. Anza sasa kuchunguza ni changamoto zipi zilizopo eneo lako ili uzifanyie kazi.
Tatizo la mtu ndo kazi ya mwingine.
Chiiinekemeee😂😂🙈🙈Siku nyingi tu. Juzi hapa nilikuwa nagombana na bibi yenu. Badala ya kuweka kwenye kikojoleo eti mi nikawa nachochea kwenye kitovu. Dah
IgweeeChiiinekemeee😂😂🙈🙈
Iiiigweeeeeee otume-degbee babu 🤗🤗Igweee
loh hata me naona mwaka mpya na mambo mapya,Najua raha uipatayo sasahivi basi natabasaaaam mwenyewe,.hahah avatar nimeamua kuja kivingine mwaka huu mpya somo
Ndio ujifunze sasa. Ila na ajira hamnaDada nilikua sijaona huu uzi konkii
Mungu ni mwema jamanii uuwwiii acha aitwe Mungu tuu,.loh hata me naona mwaka mpya na mambo mapya,
Somo wee hata cha kusema sina namshukuru tu Allah kwa hiki alichoniruzuku nacho mana skutegemea