ajira idara tofauti

ajira idara tofauti

mswangajr2010

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
41
Reaction score
9
wadau hivi kama uliwahi kuajiliwa serikalini idara x ,ukapata na cheki namba ukaona hakulipi ukaamua kufanya mambo mengine,ukitaka baadae kuomba kazi idara nyingine toauti serikalini mfano jeshi cheki namba ya idara uliyofanyia mwanzo itasoma? inakubalika? au utaonekana tayari ni mwajiriwa?
 
Ngoja tusubirie majibu ya wadau zaidi nahisi nami nahitaji majibu haya
 
Hakuna uhusiano wowote hapo mimi niliajiliwa mwaka 2009 baada ya kuwa nimemaliza chuo nikapangiwa mbozi ndani nikariport nikafanya kazi kama miezi minne nikaona mazingira magumu sana nikamua kuacha nilikuwa nimeshapew cheki namba,mwaka unaofutia nikaomba tena nikapangiwa singida vijijin nikariport nikapewa check number nyingine tofauti kabisa na ile ya mwanzo.Nikafnaya kazi miezi sita nikaamua kusepa kwenda kufanya inshu zangu uraiani.
 
Wakubwa wazima? sory natafuta kazi nimemaliza 6 mwaka jana nmepgsha tempo bt malpo dah! naomben msaada alyeckia au anazo
 
Back
Top Bottom