steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,182
- 1,596
Nimepata taarifa Sino hydro wamepewa tenda mpya kujenga bwawa jipya la umeme tanga he hii ni kweli? Nataka nichangamkie tenda
Sina uwakika ndiyomaana nimeuliza Mimi ni welderHiyo taarifa ulipoipata haina uhakika?
Sawa shemejSina uwakika ndiyomaana nimeuliza Mimi ni welder
Maji ya chupa Yana mahusiano gan na swali langu?Bwawa la nn Tena ? Maji ya chupa yashafika mia 7 siku tatu tu!
Chako ni chako ni Chaka la long time kabla Jembe hajawakurupusha wafanyakazi kuhama jijini Daslam mwekezaji inabidi apaboreshe.Nimepata taarifa Sino hydro wamepewa tenda mpya kujenga bwawa jipya la umeme tanga he hii ni kweli? Nataka nichangamkie tenda
Chako ni chako ni Chaka la long time kabla Jembe hajawakurupusha wafanyakazi kuhama jijini Daslam mwekezaji inabidi apaboreshe.
Tustuane mkuuNimepata taarifa Sino hydro wamepewa tenda mpya kujenga bwawa jipya la umeme tanga he hii ni kweli? Nataka nichangamkie tenda
Tupo pamoja ikipatikana nishtue mkuu
uliomba zile nafasi walizotangaza TGDCSina uwakika ndiyomaana nimeuliza Mimi ni welder
Hapana sikuwahi hata kuzisikia nduguuliomba zile nafasi walizotangaza TGDC