Ajira bwana! Eti nikupe mshahara wa kwanza

Ajira bwana! Eti nikupe mshahara wa kwanza

saadmad

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
729
Reaction score
653
Hallo, am Mr. Rajab from ECOSEARCH NGO Dar, tupo kwenye kikao cha dharura leo tunapitia CV za kuinterview for PROJECT OFFICER post, your cv is good me nataka kukusaidia upate hii kazi kwa masharti yafuatayo, mshahara ni 1,200,000/=(take home salary) ukishaanza kazi rasmi utanipa sh. laki 4 kama asante yangu kwa kukusaidia, na kabla ya saa 11 jioni uwe umetuma sh. elfu 35 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview anipe maswali amesema anaitaka leoleo, ntakuforwadia maswali kwenye email, nikitoka kikaoni nitakupigia simu.

MDAU natafuta ajira tena nikupe pesa yangu 35 ambayo ndo balance yangu ya kupost application letter pamoja na nauli, never ever tena sikujui aaah! Nina vigezo vya kupata ajira ila kwa hili

Pyeeeeeeenh.
 
Hawajui kuwa mtu anashindwaga kuomba kazi kisa hana hela ya kutuma maombi
 
Umeonaee Tripple D waache ujinga yaani miaka yote ulotumia college akutie changa mbwiga kama huyu, hapana i see
 
Hawajui kuwa mtu anashindwaga kuomba kazi kisa hana hela ya kutuma maombi

Hilo wanalijua mkuu ila ni ukiritimba wao tu na tamaa za ajabu ajabu kama ipo ipo tu itachelewa kuja
 
ndio Miss hawa ni Wajanja wajuzi juzi hao ndio zao pia nafikiri ni scam maana hizi kazi za mtandaoni mtandaoni majanga saana mara tuma email na app letter tu ili wafanye yao pumbavu
 
Je Hawa si matapeli?

About Your Job Application on Tanzania Referendum Support Project

Congratulation for your intention to work with us in the project, Tanzania Referendum Support Project (TRSP) in the position of Civic and Voters Education Officers as it was advertised in January through various newspapers and job websites in Tanzania.

I am informing you that, you have successfully been selected to attend one week training on Peace and Democracy, The Role Civic Education, Voters Awareness on Referendum and Awareness Creation Techniques to field officers. The training shall commence on the 22[SUP]nd[/SUP] March, 2015 in Dar es salaam. Reborn shall only provide transport allowance, breakfast and dinner. You will be responsible to arrange for your own accommodation during the whole period of the training if you are coming out of Dar es salaam.
After the training you will sign a three months contract of work as civic and voters education officer for TRSP
Those who will perform better in this referendum project (TRSP), shall be given another five months contract in another project called, Tanzania General Election Support Project, which is expected to commence on May 2015.
Unfortunately we are new in Tanzania, and we are not yet familiar with various professional and college certificates, hence our organization has appointed an independent local consultant for verification, authentication and certification of selected candidate's certificates
To complete the required necessary secondary procedures

  • Send your Scanned certificates(O-level,A-Level and or College/University) to;
Mr Juma Shaban Kayilla Machiya

Along with Certification Costs of Tsh 51,500/= before the mentioned deadline of 19[SUP]th[/SUP] March. Please use the details above ( M-Pesa or TIGO-Pesa to send your certification fee to the lawyer as instructed, and send himm-pesa/tigo-pesa transaction message just to inform him that you have already completed procedure).
CLICK HERE for Email Address and Other Instructions on how to send your certification costs


  • Then, He will send you Certification Letter once your certificates has been verified, screened and certified.


  • Then, Attach the certification letter you will receive from our legal consultant, and a scanned Resident Introduction Letter (barua ya utambulisho wa makazi) from ward/village/ or street executive officer and send it back to us via this email. OR by using the online submission form provided.

Make sure that you submit the certification letter from our appointed legal consultant to us best before 19[SUP]th[/SUP] March 2015, only those who shall submit certification letter to prove that their certificates has been certified, shall be contacted for the training schedules and training invitation email.
Please make sure that you arrive with your original certificates in the first day of the training if at all you will manage to verify your certificates as instructed, we strongly advise you to write us an email in case of any inquiry or concern.



Joachim Gabriel

Assistant Recruitment Manager
Tanzania Referendum Support Project
Reborn Democracy-Africa Project
Reborn Organization
Gizenga Street | Mji Mkongwe |Zanzibar
jgabriel@reborn.com

Sub- Office:
Juma M.Kayilla (LLB,ML)
Tanzania Mainland Local Representative,Legal Consultant, Mikocheni B,Dar es Salaam

"supporting others, creating awareness"


 
hilo jamaa style yake hiyo hiyo ana edit job posstion na company,kila kitu hivo hivo,namba yake ni hii 0653-964 332, halafu anaweza akatuma kwako ukawa na mshkaj wako labda nae aliomba kazi nae anatumiwa hv hv, hasa hii ni kwa ajira zinazopostiwa kwenye mtandao wa Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info (zoom) ndo haya mambo yanajitokeza sana.
 
mh.huyu m2 jaman aliniacha hoi yan kama cku 2 zlpta ma friend alnfowdia dat sms na kumvumbua kuwa hyo ni tapel.he!kesho yake na mie natmiwa sms ka hyo tena kene no zangu zote yn ya tgo na voda..,nkampotezea kwa kuwa ckuwa na credt bt cku ilyofuata nkam2mia sms kwamba nko tayr bt mi ntamtoa hata lak 5 pale 2 atakponpa kz kwanza.....HAKUJIBU NG'OOODOO.
 
mh.huyu m2 jaman aliniacha hoi yan kama cku 2 zlpta ma friend alnfowdia dat sms na kumvumbua kuwa hyo ni tapel.he!kesho yake na mie natmiwa sms ka hyo tena kene no zangu zote yn ya tgo na voda..,nkampotezea kwa kuwa ckuwa na credt bt cku ilyofuata nkam2mia sms kwamba nko tayr bt mi ntamtoa hata lak 5 pale 2 atakponpa kz kwanza.....HAKUJIBU NG'OOODOO.

Hahahahahahahahaaaaahahahahahaha nilisikia tu kwa wadau yule jamaa wa reborn hahaha nami ikanitokea jana ndio nimeona niwasilishe hawa jamaa wanatia hasira saana maana watu wanasota kitaa kusaka tonge wao ndo wanataka wachukue wao
 
hana jipya yani kene sms zake anachobdl ni jina la company,mshahara na pesa anayodai kutaka kupewa kama asante....mxiuuu nyambfu
 
Hahahahahahahahaaaaahahahahahaha nilisikia tu kwa wadau yule jamaa wa reborn hahaha nami ikanitokea jana ndio nimeona niwasilishe hawa jamaa wanatia hasira saana maana watu wanasota kitaa kusaka tonge wao ndo wanataka wachukue wao
Je, unazungumzia huyu wa namba 8 hapo juu?
 
Yupi huyo mkuu?

  • Send your Scanned certificates(O-level,A-Level and or College/University) to;

Mr Juma Shaban Kayilla Machiya

Along with Certification Costs of Tsh 51,500/= before the mentioned deadline of 19[SUP]th[/SUP] March. Please use the details above ( M-Pesa or TIGO-Pesa to send your certification fee to the lawyer as instructed, and send himm-pesa/tigo-pesa transaction message just to inform him that you have already completed procedure).
CLICK HERE for Email Address and Other Instructions on how to send your certification costs



  • Then, He will send you Certification Letter once your certificates has been verified, screened and certified.




  • Then, Attach the certification letter you will receive from our legal consultant, and a scanned Resident Introduction Letter (barua ya utambulisho wa makazi) from ward/village/ or street executive officer and send it back to us via this email. OR by using the online submission form provided.


Make sure that you submit the certification letter from our appointed legal consultant to us best before 19[SUP]th[/SUP] March 2015, only those who shall submit certification letter to prove that their certificates has been certified, shall be contacted for the training schedules and training invitation email.
Please make sure that you arrive with your original certificates in the first day of the training if at all you will manage to verify your certificates as instructed, we strongly advise you to write us an email in case of any inquiry or concern.



Joachim Gabriel

Assistant Recruitment Manager
Tanzania Referendum Support Project
Reborn Democracy-Africa Project
Reborn Organization
Gizenga Street | Mji Mkongwe |Zanzibar
jgabriel@reborn.com

Sub- Office:
Juma M.Kayilla (LLB,ML)
Tanzania Mainland Local Representative,Legal Consultant, Mikocheni B,Dar es Salaam

"supporting others, creating awareness"
 
Mi mwenyewe huyo jamaa amenifowardia mesage hiyo asubuhi copyright,tuwe makini wasaka ajira.
 
Duuh...na hivi ndo umesota mtaani ukishasikia interview tu akili inakuruka. Ila wengi matapeli tu...though kazi za siku hizi kupata bila kutoa hela chachee...nipe nikupe ndo mchezo! Wengine tusiokua nacho tunaishia kusema Kama IPO IPO tu! heheh...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom