Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,759
- 5,262
hhahaahhaha ....Wenzako wanaenda kwenye interviews wanalamba ajira wala hawapo humu mtandaoni kupiga kelele
Wewe subiria serkali itakuletea barua ya kukuajiri nyumbani kwa wazazi wako Endelea kucheza draft
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako wanaenda kwenye interviews wanalamba ajira wala hawapo humu mtandaoni kupiga kelele
Wewe subiria serkali itakuletea barua ya kukuajiri nyumbani kwa wazazi wako Endelea kucheza draft
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ina ID nyingi kweli,inauliza swali na kujijibu yenyewe
Ndugai alishatoa ufafanuzi vijana wafanye kazi wasikae vijiweni kusubiria ajira za serikali.Wadau,
Waziri wa ajira amesema serikali itaajili wafanyakazi wapya wapatao 45000 kasoro kidogo katika mwaka huu wa fedha. Mie nadhani ni uongo wa mchana kwani katika kipindi cha miaka minne serikali ilishindwa kuajiri hata wafanyakazi elf 15 tu, je itaweza kipindi hiki ambacho tunacorono na madeni ya serikali ni makubwa?