mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Bado Mkuu.Mkuu bado hujaingia serikalini tu.
Muda uinayoyoma huo. Tehe tehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado Mkuu.Mkuu bado hujaingia serikalini tu.
Muda uinayoyoma huo. Tehe tehe
Hahaha Mkuu mimi nimezaliwa kwenye CCM na nimelelewa kwenye CCM.Sina mwisho mimi.Huyu mpya kaja na moto baada kupewa ahadi hewa,ngoja tuone mwisho wake
Mimi ni mzaliwa wa Chama.Inabid ajue walikupo kina kawe alumni humu wakaona ni ubatili tu kutumikia hio syndicate wameamua kujikalia kimya
Hii ni ID yako ya ngapi?Hahaha Mkuu mimi nimezaliwa kwenye CCM na nimelelewa kwenye CCM.Sina mwisho mimi.
Mimi Nina ID moja tu hapa.Hii ni ID yako ya ngapi?
Dah yani vijana wa Ufipa bwana,mimi nitakuja kuwaambia humu ndani nikiingia serikalini.Ufipa acheni roho mbaya.Kwa hiyo kwa kuwa mimi CCM bado sijapata Ajira ndo kunidharau et muda unaenda daaahh.Kila jambo lina muda wake Vijana.CCM milele.Magufuli hapa kazi tu,Majaliwa piga Kazi ...2020 JPM tena.Hapo ulipo Sema serikali ya Awamu ya tano na Ajira nje nje.CCM oyeeeeeeeeeMkuu bado hujaingia serikalini tu.
Muda uinayoyoma huo. Tehe tehe
Acha kuwa mropokaji wewe mwanaume.
We Jamaa utakua umetumwa humu maana umejiunga juzi tu lakini Una thread nyingi za kuupondea upinzani na kusifia chama lenuWenzako wanaenda kwenye interviews wanalamba ajira wala hawapo humu mtandaoni kupiga kelele
Wewe subiria serkali itakuletea barua ya kukuajiri nyumbani kwa wazazi wako Endelea kucheza draft
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwa mropokaji wewe mwanaume.
Vipi mmepagawa humu ndani???
Hakuna mtu ambaye huwa anatumwa.Wewe kama unatumwa na Ufipa kaawambie jamaa wa CCM wana vichwa JF haijawahi tokea.Lazima uwe mzalendo kijana.We Jamaa utakua umetumwa humu maana umejiunga juzi tu lakini Una thread nyingi za kuupondea upinzani na kusifia chama lenu
View attachment 1422176
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana naona umetupia na anuani ya barua pepe ili viongoz wa genge lako waweze kukutambua na kukurehemu/ kukukirimuDah yani vijana wa Ufipa bwana,mimi nitakuja kuwaambia humu ndani nikiingia serikalini.Ufipa acheni roho mbaya.Kwa hiyo kwa kuwa mimi CCM bado sijapata Ajira ndo kunidharau et muda unaenda daaahh.Kila jambo lina muda wake Vijana.CCM milele.Magufuli hapa kazi tu,Majaliwa piga Kazi ...2020 JPM tena.Hapo ulipo Sema serikali ya Awamu ya tano na Ajira nje nje.CCM oyeeeeeeeee
mazagaone@gmail.com
Dah yani vijana wa Ufipa bwana,mimi nitakuja kuwaambia humu ndani nikiingia serikalini.Ufipa acheni roho mbaya.Kwa hiyo kwa kuwa mimi CCM bado sijapata Ajira ndo kunidharau et muda unaenda daaahh.CCM milele.CCM oyeeeeeeeee
mazagaone@gmail.com
Kuna uchaguzi mwaka huu.Wadau,
Waziri wa ajira amesema serikali itaajili wafanyakazi wapya wapatao 45000 kasoro kidogo katika mwaka huu wa fedha. Mie nadhani ni uongo wa mchana kwani katika kipindi cha miaka minne serikali ilishindwa kuajiri hata wafanyakazi elf 15 tu, je itaweza kipindi hiki ambacho tunacorono na madeni ya serikali ni makubwa?
Hayo mawazo yako,mimi nimeweka unitukane kupitia hiyo email,yani uniseme yote humo,acha kupotosha kijana wa Ufipa.Njoo huku upate raha kijana mwenzangu.Safi sana naona umetupia na anuani ya barua pepe ili viongoz wa genge lako waweze kukutambua na kukurehemu/ kukukirimu
Yani ni mahaba ya hali ya juu,najivunia kuwa na Chama mama,Chama tawala kilichoshika dola,asa niringie wapi tena? Mamikopo kwa wanafunzi imemwaga,mahospital na mazahanati yanajengwa,Ajira hizo hapoo,huoni na mimi kwanini nisifurahi kwamba nitapata Ajira kwa imani na kwa Uweza wa Mungu.Maisha ndiyo haya haya ukiwa sehemu unayoipenda rahaaaaaaa.Unaushabiki wa kitoto sana!
Sent by Raphael_focus
Uongo wao umekuwa too much