Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,012
sio ujinga, kadhia kama hizi zipo nyingi na sababu ni umaskini wa kupindukia unaosababishwa na serikali dhalimu ya CCM..kwani ni mara ngapi tumesikia mzazi kamuua kwa kipigo mtoto wake kisa ameiba sh.mia?? haya ni matokeo ya kuchagua hawa satanists CCM ili watuongoze..Huyo ni adui ujinga
Kabisa kabisa, kwanza ile kamba kaipatia wapi, wakati mke wake anasema alitoka na shoka mbili, afu police wanatakiwa wamchunguze huyo mwanamke alikimbilia wapi, kuna harufu harufu ya mke wake kuwa kafanya mauwajai hayo au kuna big deal hapo.
Kongosho Bar ndiyo sehemu ambayo deal za nje ya ofisi zinapangwa na mnapokutana Bar ni rahisi sana mtu akishapiga 1,2 kukupa siri ya jinsi ya kufanikiwa tofauti na akiwa hajaonja.........yaani huwa sikubaliani na hili la dili zinapatikana bar.
Hawana ofisi? Au matapeli?
Si alikuwa kwenye vikao vya wazee hujui deal nyingi za kina baba zinapatikana bar?
Kongosho Bar ndiyo sehemu ambayo deal za nje ya ofisi zinapangwa na mnapokutana Bar ni rahisi sana mtu akishapiga 1,2 kukupa siri ya jinsi ya kufanikiwa tofauti na akiwa hajaonja.........
Hii inaitwa WINE TALKS inakuwaga nzuri sana.
Ila hili tatizo la kina baba kunyimwa haki ya ndoa linazidi kukua kila kukicha inabidi tuungane wakina baba tuanzishe taasisi za kutetea wanaume kwa sababu wanawake wamepewa nguvu hadi imepitiliza sasa.
Kweli kumnyima mumeo unyuma ni KUMDHALILISHA YEYE NA UKOO WAKE! Wewe umetolewa mahari, ili uende kumpa mwenzio UNYUMBA KILA ATAPOHITAJI, tena ulikubali mbele za watu huku ukitabasamu kuwa Kwenda kumpa u nyumba mumeo hilo jukumu waliweza na walitaka! WHYYYYYYYY KUMNYIMAAAA!!!!! TENA BILA SABABU YA MSINGI!!!!!!!!!. NIMEMUNA NA HICHI KIFO!!!!!! IT WASNT FARE!!!!
Hata kama umeoa haimaanishi ndio leseni ya kumbaka mke wako..! Lile tendo bado linabakia kuwa ni la ridhaa.. Mwisho wa ciku ufanye na mkeo afurahie.. Sasa huyu katoka kwenye pombe huko anataka.. Kuambiwa mwenzie amechoka ndo kaja juu..! Ubakaji huo..
Ila kweli
Mie deal nyingi nazipatia gest house, kumbe wanamme mnapatia bar?
MKAZI wa Mtaa wa Mpanda Hotel, Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, Nzego Vicent (33), amejiua kwa kujinyonga na kamba baada ya mkewe kumnyima tendo la ndoa.Tukio hilo limetokea hapo juzi majira ya saa 7:30 usiku jirani na nyumba waliyokuwa wakiishi wanandoa hao.Mke wa marehemu huyo aitwaye Agnes Nicodemu, alisema siku ya tukio mumewe ambaye alikuwa ametoka kwenye pombe za kienyeji, alifika nyumbani kwake majira ya saa 6:20 usiku na kumtaka ampe tendo la ndoa.Alisema kutokana na shughuli alizokuwa amezifanya mchana, alimwomba mumewe avumilie hadi siku itakayofuata kwa kile alichomweleza kuwa hakuwa tayari kufanya tendo hilo kwa kuwa alikuwa amechoka.Kwa mujibu wa mama huyo, baada ya kumjibu hivyo, mumewe hakuridhika na ndipo alipoanza kumshutumu kuwa huenda ana mahusiano ya kimapenzi na wanaume wengine."Baada ya hapo alianza kunishambulia kwa kunipiga huku akinitolea maneno ya kunitisha kuwa lazima ataniua kwa panga," alisema mama huyo huku akitoka machozi.Agnes baada ya kuona kipigo kimezidi, anasema aliamua kukimbia nje na mumewe nae aliamua kutoka huku akiwa na mashoka mawili, akaelekea kusikojulikana na kuacha nyumba ikiwa wazi."Ilipofika aubuhi, majira ya saa 12:30 asubuhi, majirani walinifuata na kunieleza kuwa mume wangu amejinyonga kwa katani, jirani na nyumba yetu," alisema.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari, amethibitisha kutokea kwa kifo hicho.Wakati mkazi huyo akijinyonga kwa kunyimwa unyumba.
No wonder watu wengine humalizia kwenye pombe zao,wakirudi home ni kulala tuu..
ni afadhali wafanye hivyo mkuu.. Kuliko kukaa bar wanakunywa pombe na kuwashika matiti na makalio barmaids.. Wakishapata stimu wanarudi kwa wake zao saa nane uciku ati wanataka unyumba..! Maana afadhali wangetoa taarifa mapema baci wenziwao wajiandae..
sio safe sana lakini mkuu...mi naona ukilewa pombe,sehemu salama kabisa ni kwa mkeo......usije shangaa unavaa kondom kidoleni!!!
Ha ha ha.. Hiyo ya kuvaa condom kidoleni Mkuu imeniacha hoi.. Ila bado ninafikiria kuna umuhimu wa kumuandaa mwenzi wako kama wajiona huko unakoenda ukirudi lazima upate ile chakula cha utu uzima.. Unajua nayo ikiwa uciku sana ile ya mwanamke inakuwa imechacha kidogo..