Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
Sudi Mwamandi amejinyonga hadi kufa baada ya kuwaua Mkewe na Mtoto kwa kuwakata mapanga huku sababu ikitajwa ni kubadili dini.
RPC wa Kagera, Revocatus Malimi amesema wanaendelea kuchunguza tukio hilo ambalo lililotokea usiku wa Machi 26 katika kijiji cha Mayondwe.
RPC wa Kagera, Revocatus Malimi amesema wanaendelea kuchunguza tukio hilo ambalo lililotokea usiku wa Machi 26 katika kijiji cha Mayondwe.