Seif hawezi kushinda urais zanzibar. Tatizo lake ni kuungana na mamvi na siasa za chuki za kuchukia watumwa.kama angeshinda basi ujue mpaka sasa watanzania tungekuwa tunashangilia ushindi. Wenye boda boda , mama lishe, wasukuma maguta n.k ni furaha tupu. Subir maalim seif apewe utaona furaha na ndelemo za kumuondoa mkoloni mweusi.
Ni mawazo tu
mliibiwa akili zenu badala ya kumpigia lowassa mkapiga kwa jpm