Ajikata kidole baada ya Lowassa kukosa urais

Ajikata kidole baada ya Lowassa kukosa urais

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,198
Reaction score
162,739
Mkazi mmoja wa mkoa wa Morogoro amejikata kidole chake kidogo cha mkono wa kushoto ambacho huingizwa kwenye wino baada ya kupiga kura ikiwa ni hasira ya Lowassa kukosa uraisi.

Mkazi huyo pia ameharibu kadi yake ya kupiga kura na kuahidi kutopiga kura tena katika maisha yake.

Chanzo: Star TV Magazeti

attachment.php
 

Attachments

  • Ajikata kidole baada ya Lowassa kukosa urais.png
    Ajikata kidole baada ya Lowassa kukosa urais.png
    59.9 KB · Views: 4,488
Sipati picha Lowassa angeshinda .

Rostam angekuwa tajiri namba moja wa Afrika mwakani maana kila tenda kubwa ya serikali angepewa yeye.

Mwenyezi Mungu tunakushukuru kwa kutuepusha na janga kuu.
 
sipati picha lowassa angeshinda .

Rostam angekuwa tajiri namba moja wa afrika mwakani maana kila tenda kubwa ya serikali angepewa yeye.

Mwenyezi mungu tunakushukuru kwa kutuepusha na janga kuu.


kama angeshinda basi ujue mpaka sasa watanzania tungekuwa tunashangilia ushindi. Wenye boda boda , mama lishe, wasukuma maguta n.k ni furaha tupu. Subir maalim seif apewe utaona furaha na ndelemo za kumuondoa mkoloni mweusi.

Ni mawazo tu
 
Sio Rostam peke yake. Sema genge la wafanyabiashara waliokuwa wanasubiri fursa wote wangekuwa matajiri namba moja wa Afrika, baada ya kuhodhi kila biashara itolewayo na serikali. Nchi ingegeuka kuwa ya mabepari eti kwa kisingizio cha mabepari ndio wangestawisha taifa hili. Lowasa aliwahi kusema tanzania ingekuwa na kina Karamagi 20 hivi tungepiga hatua fasta. Duuu.
 
Sipati picha Lowassa angeshinda .

Rostam angekuwa tajiri namba moja wa Afrika mwakani maana kila tenda kubwa ya serikali angepewa yeye.

Mwenyezi Mungu tunakushukuru kwa kutuepusha na janga kuu.

acha unafiki
 
Aisee hii ni sawa na kujikata dushe ukinyimwa papuchi
 
Huyo lazma atakuwa kula kulala. Mtu mwenye kazi na shughuli zake na majukum ya kifamilia hawezi kufanya ujinga huo
 
  • Thanks
Reactions: nao
Sipati picha Lowassa angeshinda .

Rostam angekuwa tajiri namba moja wa Afrika mwakani maana kila tenda kubwa ya serikali angepewa yeye.

Mwenyezi Mungu tunakushukuru kwa kutuepusha na janga kuu.

Acha mambo ya kahawa, wewe unamjua Rostam, Kampuni zake zinalipa kodi kubwa inayokufanya uiishi hivyo, usishabikie mambo usiyoyajua
 
aiseeee nimestuka kweli nilidhani KAJITIA kumbe KAJIKATA
 
Back
Top Bottom