lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,527
- 1,960
Hawa ni watani wa jadi, wenye style yao ya maisha ya soka , inayofurahisha nchi na kuisisimua waboreshe tu baadhi ya maeneo ifikie hata kupeana wachezaji kwa mkopo kwa kipengere siku ya mechi yao asicheze.Ni vizuri Yanga na simba wasiuziane wachezaji
Lkn utani huu, usiingiliwe sana, ukapoteza Radha hii tunayojivunia iliyolindwa kizazi hata kizazi.