Aje remix

Felix King Zaman

Senior Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
125
Reaction score
117
25th AUGUST 2016
AJE remix Audio na Video Redone ALI KIBA ft M.I ABAGA itakuwa inaharibu hewa..
Kuwen teyar..
Kamwambien ALI KIBA asirelease hii ngoma sabab sio vizuri kuwakosesha amani wale WCB
 
25th AUGUST 2016
AJE remix Audio na Video Redone ALI KIBA ft M.I ABAGA itakuwa inaharibu hewa..
Kuwen teyar..
Kamwambien ALI KIBA asirelease hii ngoma sabab sio vizuri kuwakosesha amani wale WCB
wewe ni mvulana wa dar bila shaka!
 
Haya baas wewe wa mkoan..njoo Dar nikutembeze mjin..Usiumie kwa kukosa fursa ya kuja Dar
pole sana,sijakwambia sipajui Dar,naweza nikawa napajua zaidi yako,ila tabia zako ndio zimenifanya nikuulize,maana wavulana wa dar ndio wana hizo tabia,samahani kwa kutokunielewa!
 
pole sana,sijakwambia sipajui Dar,naweza nikawa napajua zaidi yako,ila tabia zako ndio zimenifanya nikuulize,maana wavulana wa dar ndio wana hizo tabia,samahani kwa kutokunielewa!
Haya mkuuu...Nimetoa hoja tu ila sikatai mawazo yako..una uhuru wa kusema chochote
 
25th AUGUST 2016
AJE remix Audio na Video Redone ALI KIBA ft M.I ABAGA itakuwa inaharibu hewa..
Kuwen teyar..
Kamwambien ALI KIBA asirelease hii ngoma sabab sio vizuri kuwakosesha amani wale WCB
Mbwembwe nyingi sana,alafu video ikitoka tunaona midoli ndiyo inacheza.
 
Hayaa baas mkuuuu...Nan anarekodii...nataka kutoa kichupaaa
Kurekodia au kushoot video inategemea na msanii mwenyewe anataka nini,unaweza ukatumia hata simu yako ya tekno na video ikawa poa kuliko aliyekwenda South Africa kurekodiwa na Godfather.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…