sidhani hapa kuna kazi ya Mungu mkuu, hawa jamaa wa bodaboda huwa hawako makini katika kazi zao na wanapenda sana kuchomekea, mfano ukiangalia mwendesha bodaboda akiwa kwenye mataa anapokua anajiendea bila kuangalia taa kama zinamruhusu apite au aendelee na safari lakini yeye hua hajali anajiendea tu
Hivi huyu sio yule jamaa aliyegongana na Fuso Morogoro? maana niliona ile picha ya fuso kwa jinsi ilivyobonyea pale alipogonga bodax2 utadhani mtu alipiga na nyundo.....Duh!!!😛hone:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.