The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
ajali ya zanzibar ya meli imeua watu 200 au zaidi
wameokolewa zaidi ya 500 inasemekana walikuwa zaidi ya 3000
sasa hapa napata maswali ya kibiashara,atakaeweza kunisaidia nitashukuru...
1.nauli walilipa kiasi gani?
2kwa kawaida nauli ni kiasi gani kati ya unguja na pemba
kwa meli na boti?
3.meli au boti zipo ngapi zinazofanya biashara njia hiyo ya unguja na pemba?
4.wastani ni watu wangapi wanakwenda au kutoka unguja na kwenda au kutoka pemba?
5.ni masaa mangapi kwa meli au boti,wastani
6.mizigo ya aina ipi hasa inasafirishwa kati ya unguja na pemba?
7.na mengineyo.....
wameokolewa zaidi ya 500 inasemekana walikuwa zaidi ya 3000
sasa hapa napata maswali ya kibiashara,atakaeweza kunisaidia nitashukuru...
1.nauli walilipa kiasi gani?
2kwa kawaida nauli ni kiasi gani kati ya unguja na pemba
kwa meli na boti?
3.meli au boti zipo ngapi zinazofanya biashara njia hiyo ya unguja na pemba?
4.wastani ni watu wangapi wanakwenda au kutoka unguja na kwenda au kutoka pemba?
5.ni masaa mangapi kwa meli au boti,wastani
6.mizigo ya aina ipi hasa inasafirishwa kati ya unguja na pemba?
7.na mengineyo.....