ok apolo wacha tuone hiyo riport yao itatoka lini na itasemaje? kupeleleza kesi ya wizi inachukua miaka sembuse ajali za ndege ambazo hawana utaalamu nao. kujifunza kuendesha helikopta sio kujua muundo wake kwa namna ya mitambo yake,labda tujiulize ni kwann ajali kama ile ya ethiopia ariline na ile ya kenya airways NTSB waliitwa wao ni kwanini jeshi la polis la kenya halikuweza?
Ha ha haaa!
Preta bana!...kama unajua inavyoandikwa si umwelekeze aisee!
Mi nakumbuka tulitembelea kiwanja cha ndege tukiwa darasa la 6 mwaka 1966, na tukafundishwa kuwa inaitwa Cessna-206, 6-seater a/c.