Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,193
- 12,379
ni muda gani ulipita kutoka ajali mpaka mlipuko?Hatimaye Waziri Mkuu naye kajiuliza swali ambalo wengi wetu tumejiuliza tangu jana ila tukawa tunapingwa kwamba askari wasilaumiwe.
Pale msamvu ndani ya stendi kuna askari muda wote wakuruhusa magari, nje ya stendi kuna kituo cha askari, kutoka fire hadi msamvu si zaidi ya dk 5 (hawa wanaweza kuchelewa kidogo kwasababu mpaka wawashe gari, wajaze maji, watafutane, watafute vifaa)
ila polisi wa kuzuia watu wasiibe mafuta na kuwasaidia dereva na tingo wake baada ya ajali wasingeweza kukosekana kwa eneo lile!
Hivyo lawama hawazikwepi kwani kwa umbali wa walipokuwa na eneo la ajali kufika ni chini ya dk 1 labda tuambiwe ajali inapotokea lazima asubiriwe askari mwingine toka central wale wa pale msamvu hawaruhusiwi kujishughulisha na kitu kingine zaidi ya kuongoza magari!?View attachment 1178222