Ajali ya moto Morogoro: Je, Serikali itafanya DNA test investigation ?

Haiwezi kutokea, familia yangu haina vibaka au mataahira
 
Wakati wa kusajiliwa vitambulisho vya Taifa niliwauliza maafisa wa NIDA kuwa baada ya kuchukuliwa alama za utambuzi wa vidole, ni lini tutachukuliwa sample za DNA ili yanapotokea majanga kama haya ya moto na kufa maji ambapo miili huharibika ili utambuzi wa kisayansi utoe majibu haraka walinijibu ni awamu nyingine nikashangaa baada ya muda napewa kitambulisho.
 
Uliwaza mbali lakini majibu yamekuwa mepesi sana
 
Nimemsikiliza mama mmoja hapa Itv yeye anasema jana wamechukuliwa DNA na majibu yametoka leo na mwili umetambuliwa kwa vipimo vya DNA!!! Hii DNA ya majibu ndani ya saa 24 kama majibu ya malaria!!!sijawahi kuisikia. Mamlaka zina kazi sana kuna mwingine kaja kutambua mwili wa jirani anaulizwa jina halijui
 

Attachments

  • 20190811_122550.jpg
    143.6 KB · Views: 15
Askari kanzu.
 
kwahyo ni masaa mangap mkuu kufanya DNA testing?
 
Hiyo inaitwa noma Kg1 unusu
 
Jana nilipita kijiwe fulani nikasikia jamaa wanasema kuna kibaka mzoefu wa Kihonda Mbuyuni naye kapoteza maisha kwenye hiyo ajali, jamaa wakawa wanafurahia kweli maana huyo kibaka alikuwa tatizo sana mtaani
 
Jana nilipita kijiwe fulani nikasikia jamaa wanasema kuna kibaka mzoefu wa Kihonda Mbuyuni naye kapoteza maisha kwenye hiyo ajali, jamaa wakawa wanafurahia kweli maana huyo kibaka alikuwa tatizo sana mtaani
 
Aaiiiighoooo
 
Itabidi tuanze kutumia vitambulisho vya chuma.

Itabidi ndugu tuanze kuvaa vitu vitakavyo tutambulisha, visivyo ungua kirahisi mfano cheni (naonaga wajeshi wakiwa vitani akifa mmoja wao hua wanakata cheni yake na kuipeleka katika familia take).

Sema ajari ilihusisha moto ila samahani jamani hivi tungefanya hivi..... Sijui ingependeza??? Yani yale mazishi ya kihindi, miili yote ingechomwa kwa pamoja hadi kua majivu na kila mtu akapewa majivu kiasi akazike anavyojua..... Sema sio utamaduni wetu ila angalau unakua na uhakika kwamba kwa kiasi flani kutakua na jivu la ndg yako kuliko kupewa mwili usio wa ndg yenu kabisaa
 
Mmh umewaza mbali lakini tuna safari ndefu hadi kufika huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…