Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,132
- 13,727
Haiwezi kutokea, familia yangu haina vibaka au mataahiraTukana tu Ila najua maneno yamekuingia vilivyo..yamekuchoma vilivyo...
Nenda kwa Mungu katika roho na kweli ukaombe msamaha kwa maneno yako..
Narudia tena, weka picha ya mama yako baba yako na mkeo na watoto wamechomeka kwenye huo Moto..je you will call them vibaka?