Ajali ya Meli: Maoni na mtazamo wa wananchi kwa yaliyojiri


Basically,hili shindano lenyewe ni laana tu,uwa nashangaa watu wanasababu nyingi tena za msingi kutetea uchafu huu,wengine watakwambia kuwa tunatangaza utamaduni? Je,utamaduni wetu ni kuvaa machupi na kuacha matiti wazi? wengine watakwambia ni ajira kwa vijana,Je,hao wasichana wakitoka hapo uwa wanafanya nini? kama sio upuuzi wa akina Wema Sepetu na umalaya wake....Hili shindano ni la kuzalilisha dada zetu na mama zetu....na kwa hakika dhambi hii itamla huyu Hashim Lundenga...kazi yake ya kuwaanika dada zetu kwa mabedeshee ili wanunulike si haki na wala halipaswi kuvumilika kabisa na kila mtu anayemuheshimu Allah(Mungu).....Huyu jamaa anakusanya mabilioni kupitia kuwaweka uchi dada zetu....MIMI NAUNGA MKONO HOJA KUWA HILI SHINDANO LIFUTWE KABISA NA SIO KUHARISHA KWASABABU YA VIFO VYA WENZETU KULE ZENJI.....

Mungu awatie nguvu wafiwa,maana kifo ni jambo lisilozoeleka...
 
katika janga kama hili la msiba mkubwa wa kitaifa tuache malumbano ya kisiasa.poleni ndugu zetu wote mliofiwa na mlio majeruhi.
Uchunguzi wa kina na wazi ufanyike ili kama ni uzembe wawajibishwe wahusika
 
Ukweli unabakia kuwa Zanzibar siyo Tanganyika. Hizi ni nchi mbili majirani. Period
 
Kawaida mtu akilia huwa anashika kichwa chake. Hashiki cha mwenzake! Ni kama usemi huu umedhihiri vile! Poleni wafiwa.
 
Siungi mkono hoja ya kuahirisha mashindano hayo kwa sababu ya hii ajali, kwa sababu kwanza mashindano yenyewe yako kibiashara zaidi kuliko kitaifa kwani sidhani kama kuna mkono wa serikali ktk mashindano hayo, na bahati nzuri hakuna hata mshiriki mmoja anayetokea Zenji kiasi tungesema hatendewi haki.

Labda niulize swali kwa mtoa maada na wengine walioungana naye mkono, kama kusingetokea msiba wangeenda? Ili tuone kwamba mashindano watayamiss kwa sababu hiyo, hivyo wanaomba iahirishwe ili wapate nafasi ya kushiriki.

Kuahirisha hii ni sawa na kusema night clubs, discos na shughuli zote za starehe zisimamishwe.
 

Ni ramani sio tamani mkuu,hata hivyo hiyo ramani iko wazi Mozze.Na hata wao wameonyesha vyema.
 
@dar_millionaire Yeah i agree with u , ur mom dies you just stop by and say 'pole' to your father then you take your wife go partying !after all she is your dady wife so what the heck! ARE YOU REAL?
 
Nini watu mi hata paka mzururaji akigongwa na gari nahisi uchungu usiniambie binadamu wenzangu kadhaa wankufa kifo kikatili cha maji! have a heart!
 
Nimetafakari sana siku ya Leo, sana tena sana, Jibu ninalolipata ni kuwa CCM ina Laaana ya Mungu,na wakiendelea hivi,sie tutabeba sana Msalaba wao, Kwa sisi wa Kristo tunaamini kuwa kuna Dhambi ambayo walifanya Adam na Eve na mpaka sasa inatu cost (Kifo).
CCM Walipoingia Igunga majuma kadhaa tumeshuhudia Kifo cha mtoto wetu mpendwa kule, Leo hii CCM wanazindua kampeni zao Tumeshuhudia Ndugu zetu wa Zanzibar/Bara wakipata ajali mbaya baharini,
Hizi ni Laana ambazo ni matunda ya Dhambi za CCM,ni jukumu letu sasa, Mungu emetufungua, tusimame na kulipiga vita Dudu CCM, na tuanze na Igunga.

Mungu tubariki Tanzania kwa Kutuondoshea Dudu CCM.
 
katika janga kama hili la msiba mkubwa wa kitaifa tuache malumbano ya kisiasa.poleni ndugu zetu wote mliofiwa na mlio majeruhi...
Ukiuona mambo uliyoyaita "ya kisiasa" kuhusu Muungano yanaibuka hata msibani ujue huo Muungano uko kwenye crisis, una saratani.

Hivi nani yukoultimately responsible kuratibu msiba/misaada katika maafa haya, Rais wa Zanzibar au Kikwete? Manake Shein hawezi kukubali Kikwete kufunikwa na Kikwete ndani ya visiwa wakati watu wake wamekumbwa na janga kubwa, akikubali mnyela na Zanzibar si nchi na haina Rais, hata wakati wa janga la nchi. Na Kikwete hawezi kwenda Zanzibar akafanywa second fiddle wa Shein, yeye ni Rais wa nchi inayoeleweka duniani kwamba ni nchi. Ndio maana hakuna kiongozi yeyote wa Bara amekwenda kwenye tukio mpaka hivi sasa. Muungano umekorogwa korogwa tu kama udongo wa mfinyanzi.
 
Nafikiri mambo mengine yanachangiwa na uchomaji wa baa kule visiwani.
 
Muungano gani wa kulazimisha?? nani anayeuhitaji? si wao wala sisi. may be ni viongozi wachache wa CCM ndo wanaumind
 
Walahaiwezi kuleta madhara bana japo wanapenda sana kulalamika................ unajua Muungano nikama kiinimaacho si unaona jamaa wahuko wanavyofaidihuku bara lakini waowanachomabaa za wabara
 

Je baa zilipochomwa Tv zilifnya nini hasa TVZ
 
haiwezekani kuahirisha. Na si kosa lao. Si kazi ndogo kuandaa tena hiyo kitu. Cha msingi maisha lazima yaendelee
 
 
kwakweli hii ni noma,huku Msiba mkubwa huku Miss Tanzania....Kwakua shetan ametawala nyoyo za watu na hata serikari yetu....utaona tu Miss Tz atapatikana usiku huu wa leo,,ikiwa part ya Tz ina msiba mkubwa....Mungu awalaze mahali pema peponi...ameen.
 
Rais wa Muungano sijui ndo Jk, nimesikia tu ametuma rambirambi za pole. Sijui kama yupo nchi au kaenda kutalii. Mungu awatia nguvu wote waliofikwa na janga hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…