Ajali ya bodaboda

Marandura

Senior Member
Joined
Jul 21, 2011
Posts
105
Reaction score
11
Nimeona pikipiki(boda boda) zaidi ya mia tano hapo nje ya hospitali ya mwananyamala mwenye habari zaidi atujuze. Mm nimepita na gari nimeshindwa kusimama sababu kuna watu wengi.
 
Nimeona pikipiki(boda boda) zaidi ya mia tano hapo nje ya hospitali ya mwananyamala mwenye habari zaidi atujuze. Abiria wenzangu wanasema ni ajali wamemleta mwenzao hospitali.
 
hao ndio zao mkuu pamoja na kupata ajali kila siku lakini wanaushirikiano mkubwa sana.
 
sijaelewa yaani umeona bodaboda 500 sasa umezihesabu vipi wakati hujasimama?watanzania bana kwa kuongea mmejaliwa
 
sijaelewa yaani umeona bodaboda 500 sasa umezihesabu vipi wakati hujasimama?watanzania bana kwa kuongea mmejaliwa
Nilisema zaidi ya 500 hiyo ni kadilio la chini zinaweza kuzidi zaidi ya hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…