Ajali ya basi yaua 7, kujeruhi 30 Kenya

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,492
9,266
Ajali ya basi yaua 7, kujeruhi 30 barabara kuu ya Nakuru-Eldoret Kenya.

Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi Agnes Kamau, watu wengine 30 walikuwa wamejeruhiwa vibaya sana.
Amesema ajali hiyo ilitokea eneo la Equator katika mpaka kati ya Uasin Gishu na kaunti za Baringo.

Magari yote mawili yaligongana yalikuwa yanaelekea Eldoret.
Mabaki ya basi hilo yalivutwa kwenda kituo cha polisi cha Koibatek


Chanzo: VOA
 
Back
Top Bottom