Ajali ya basi desemba 2013

Ajali ya basi desemba 2013

Ismailsimba

Member
Joined
May 10, 2012
Posts
88
Reaction score
12
nimekuwa ni ki-browse kutafuta ufumbuzi, maana hata ile ahuweni ya usiku sasa wana-ilimit, kuna hii moja nimesikia inaitwa IPVanish, naombeni mnipe ushauri kama ina faa hapa tanzania.
 
Mkuu hebu funguka maana wengine tangu tuanguke nalo bado tuvilema huenda tukapata hata magongo ya kutembelea
 
nimekuwa ni ki-browse kutafuta ufumbuzi, maana hata ile ahuweni ya usiku sasa wana-ilimit, kuna hii moja nimesikia inaitwa IPVanish, naombeni mnipe ushauri kama ina faa hapa tanzania.
  • Mdau wapaswa kufanyia kazi ushauri wangu wa tarehe 14th January 2014 17:11hrs,
  • Kwenye hii thread yako hapa: Waliopata Ajali Na Bac Desemba
  • Sababu waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba [Msemo].
IPvanish
  • Chagua plan cost zao ni zakawaida si kubwa
OLCMYi
 
  • Mdau wapaswa kufanyia kazi ushauri wangu wa tarehe 14th January 2014 17:11hrs,
  • Kwenye hii thread yako hapa: Waliopata Ajali Na Bac Desemba
  • Sababu waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba [Msemo].
IPvanish
  • Chagua plan cost zao ni zakawaida si kubwa
OLCMYi

tatizo mi ckuwa na reseller kuna m2 alininunulia. Ila hawa jamaa naona gharama zao zinaridhisha, ntanunua nikienda likizo
 
Back
Top Bottom