Hii sasa ni freemason ila ngoja wale wakombozi walioko mtwara watatua hapo Dar na hata huku kanda ya kaskazini na patachimbika. Poleni wote waliofikwa na mauti na marehemu wote walale kwa Amani ya bwana!
Inawezekana sadaka za damu zinatakiwa kuzimu!!!!!!!! Ehee Mungu tuepushe na roho ya ajali na laana ya kuzimu!!! Watanzania kutubu na kumpokea Yesu na kuacha madhambi ni muhimu na Maombi pia!!!!!!!!!
kuna ajali imetokea river-side pale ambapo lori limepoteza mwelekeo na kugonga magari mengine manne na kisha kudondokea daladala lilojaa abiria..watu wamefariki huku wengine wakikatika vichwa...harakati za kuwanasua zinaendelea
kuna ajali imetokea river-side pale ambapo lori limepoteza mwelekeo na kugonga magari mengine manne na kisha kudondokea daladala lilojaa abiria..watu wamefariki huku wengine wakikatika vichwa...harakati za kuwanasua zinaendelea
Hii sasa ni freemason ila ngoja wale wakombozi walioko mtwara watatua hapo Dar na hata huku kanda ya kaskazini na patachimbika. Poleni wote waliofikwa na mauti na marehemu wote walale kwa Amani ya bwana!
Ni uzembe wa Mambo ya ndani ambayo imeshindwa kabisa kuwadhibiti polisi ili wahakikishe sheria za barabarani zinafuatwa kila siku. Barabara zetu kusema kweli zinatisha sana. Ukitoka asubuhi na kurudi nyumbani jioni unashukuru Mungu, ukiwa safarini roho mkononi ukifika salama unabaki na wasiwasi kama safari ya kurudi itaisha salama. Nchi yetu imeoza hili siyo siri kila mahali pamejaa madudu tu.
Poleni sana wafiwa Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi~AMEN
kuna ajali imetokea river-side pale ambapo lori limepoteza mwelekeo na kugonga magari mengine manne na kisha kudondokea daladala lilojaa abiria..watu wamefariki huku wengine wakikatika vichwa...harakati za kuwanasua zinaendelea