Nimepita hapo sasa hivi, inatisha. Nilivyoona ni kama lori la mafuta lilikuwa linatokea Ubungo, limepanda kingo za katikati ya barabara na kugonga magari kadhaa yaliyokuwa kwenye foleni upande wa pili wa bara. Sikuweza kuhesabu watu waliokufa lakini kwa haraka nimeona kama miili miwili hivi ikiwa imefunikwa barabarani