Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Nchi yetu hiyo watu wanabanwa masaaa zaidi ya matano ,wanashindwa kuokolewa
pole Tina, ajali imehusisha magari gani, we unaelekea wapi? pole sana mugu akusaidie ufike!
nchi hiii bwana, yaani kila kitu bora liende, nashangaa yakianza majigambo ya vyuo, eti UDSM wanatoka kifua mbele kuwa wanaongoza kutoa watu wenye madaraka mmakubwa serikalini, mmadaraka makubwa with no meaning ......mchumi gani huyu hawezi even kuona oppotunity costs?, mambo ya kipumbavu yanaendelea yeye yupo japan, hapo kijitonyama mtu ametumbukia kisimani, inawezekanaa asipate taarifa au anajuaa kilichofanyika lkn atkaa kinya kama babu na wajukuul azi ipo hiki kipindi kilichobaki, tunalo watz!
Katika magari yaliyo ktk foleni, Fuso lingine linegongana na Scania na kuua driver wa Fuso Maiti hadi sasa haijatolewa ktk Fuso. Inaning'inia na polisi hawaonekani
Katika magari yaliyo ktk foleni, Fuso lingine linegongana na Scania na kuua driver wa Fuso Maiti hadi sasa haijatolewa ktk Fuso. Inaning'inia na polisi hawaonekani
Eneo gani?
poleni sana ila tutaomba waokoaji toka japan waje kutufundisha uokoaji