Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Kutokana na wimbi la ajali zinazoendelea nchini hivi sasa , nyingi zinatokana na uzembe mkubwa wa binadamu.
Uzembe kwa pande zote wasimamizi wa usalama barabarani na hata wenye vyombo vya moto.
Mchana huu nimeshuhudia kijiko kikisafirishwa BILA kufungwa kwa chain block kwenye low loader(T262 AFC).
Chuma ikikaa juu ya chuma inatereza hata kwa kufunga breki tu.
Masikini huyo jamaa wa RAV4(T695 ATV) hajui hata hatari inayomkabili pindi mashine hiyo kubwa itakapo teleza.
Uzembe kwa pande zote wasimamizi wa usalama barabarani na hata wenye vyombo vya moto.
Mchana huu nimeshuhudia kijiko kikisafirishwa BILA kufungwa kwa chain block kwenye low loader(T262 AFC).
Chuma ikikaa juu ya chuma inatereza hata kwa kufunga breki tu.
Masikini huyo jamaa wa RAV4(T695 ATV) hajui hata hatari inayomkabili pindi mashine hiyo kubwa itakapo teleza.