Ajali Nyingine Katavi

Ajali Nyingine Katavi

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,359
Reaction score
27,739
Imehusisha gari lililokuwa likitokea Mlele kuelekea Sumbalu kwenye mlima Katete.

Inasadikika watu 8 wamepoteza maisha.


Habari zaidi kuja.


Source: Radio Free Afrika
 
Aaaah this is too much Mungu uturehemu aisee. .
 
Kwahio leo tu tumepoteza jumla ya watu 18 papo hapo!!!!! Kwa ajali tu? je ni wangapi jkati ya hao watabaki mahutui? Vilema na je ni familia ngapi zitaachwa bila msaada? MUNGU baba tuepushie, huu mwezi wa Septmber unakuaga na ajali sana
 
Wapumzike kwa amani.mwenyezi mungu tusaidie ktk safari zetu,bariki magari yote ya wasafiri,amina.
 
hahahaha


Nilikuwa nikisikiliza ghafla mtangazaji akatoa hii taarifa mkuu.

hizi burudani huwa zinalazimisha ijumaa nistoke,nibakie tu ndani,maaana zina ujumbe murua.
Tunawapa pole walofikwa na msiba huu mkubwa,Mungu awape nguvu
 
Kwahio leo tu tumepoteza jumla ya watu 18 papo hapo!!!!! Kwa ajali tu? je ni wangapi jkati ya hao watabaki mahutui? Vilema na je ni familia ngapi zitaachwa bila msaada? MUNGU baba tuepushie, huu mwezi wa Septmber unakuaga na ajali sana

Mpwa ni zaidi ya 18 ile musoma mbona naona idadi kama 39.
 
Kusafri kwnda sehmu yeyote tz imekuwa si salama hata kidogo hsa kwa usafr wa makapuku wa maji na barabara

lord help us
 
Huu mwaka unekuwa na ajali nyingi sana
 
Haya majanga sasa wala hayaachi tupumue! Majanga ya Katiba mpya hayajaisha na haya mengine nayo hayatuachi tu.
Eeh Mungu tusaidie.
Ova.
 
Inasikitisha sana. ni gari lililokuwa likisomba mahindi toka Kizi kwenda Kibaoni(Kijiji anakotoka Mh.Wazir Mkuu) ambako kuna Maghala ya NMC. Wamefariki wanakiji wa kijiji hicho watatu,wa mpanda wanne ,uyo mmoja ndo sijafuatilia. majeruhi walikimbizwa kituo cha Afya Usevya kwa msaada zaid ingawaje baadh yao walikuwa na hari korofi mno.

Mungu atusaidie tupate kukumbuka sala na Toba ili tujiweke tayari kwani mambo haya hutokea suddenly,kwa mtu yeyote yule.Tena bila kutarajia. INATISHA.
 
Back
Top Bottom