Ajali njiapanda ya kilingeni

funguka kidogo najua kuna vitu unavifahamu hapa, pia mbona wakianguka hawavunjiki hata ukucha tu
Huwa tunaita kuanguka... But actually sio kuanguka ni kurudishwa chini... Kama vile emergency landing....
Huko juu pia kuna njia na masafa ya kupita kuna milima na mabonde pia... Kuna engine kubwa na ndogo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…