Kwa utawal huu tume itakuwa imeishaandaliwa majibu ya kutoa kwa walioiteuaWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amemtangaza
Jenerali Mstaafu George Waitara kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza ajali ya
Mv-Nyerere na kutoa mwezi mmoja ili tume hiyo itoe majibu na mapendekezo juu ya hatua ambazo serikali inapaswa kuzichukua.
Akizungumza na wananchi wa Ukara Waziri Mkuu amesema serikali inaendelea na hatua za awali za kuhakikisha inawachukulia hatua waliosababisha ajali hiyo na watafikishwa kwenye vyombo vya sheria.
“Hatua za awali zilishachukuliwa tulishakamata wale wote ambao waliruhusu watu kujaa, na uchunguzi unaendelea, tumeunda tume iliyojaa wataalamu na vyombo vya dola ilitubaini nani hasa muhusika, tume ina watu saba na inaongozwa na Jenerali Mstaafu George Waitara.Nimewapa mwezi mmoja ili kutoa taarifa ya tukio hilo .”
Source: millard ayoView attachment 876235
Mbunge huyu alistahiri kuwa ni sehemu ya tume hiyo kwa sababu ni mtu anayefahamu matatizo ya kivuko kwa miaka yote. Je, watamkubali?Mbunge wa Ukerewe alishapiga kelele ya matatizo ya kivuko hicho bungeni ila kwa sababu kelele hizo zilitoka kwenye mdomo wa mbunge wa upinzani mlipuuza, maisha ya wanyonge yamepotea ndo mnajitutumua kuunda tume. Sijui mnachunguza nini. Uwe mpinzani uwe CCM wote wanamtetea mtanzania huyo huyo.
NeverMbunge huyu alistahiri kuwa ni sehemu ya tume hiyo kwa sababu ni mtu anayefahamu matatizo ya kivuko klwa miaka yote. Je, watamkubali?
Inashangaza PM awapa pongezi watu kibao hasa vyombo vya ulinzi na usalama ......... ila kwenye picha zote nimeona ni wananchi wa kawaida tu wakiwajibika ........ Hii sijui imekaaje!!Kwa nini watendaji wa wizara hawajapisha uchunguzi?
Je vip wale waliotakiwa kuokoa je walirespond kwa muda mwafaka?
Haya ndo tunalalamikia. Naangalia utendaji kazi za kila siku kwa majeshi yetu. Hivi kweli mstaafu wa jeshi alipewa kuwa M/kiti wa bodi ya ushauri wa TEMESA! Ana uzoefu gani kazini, amewahi kufanya utafiti gani, ni wapi amewahi kujieleza kitaalamu na baadaye kustaafu ni wapi utaalamu wake unahitajika kiasi hicho?Kufuatia ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba, 2018 katika ziwa Victoria, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa Temesa, Mussa Mgwatu kupisha uchunguzi.
Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliivunja Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA).
Bodi hiyo iliyo chini ya Mwenyekiti wake Brigedia Jenerali Mstaafu Mhandisi Mabula Mashauri ilivunjwa kuanzia tarehe 23 Septemba, 2018 wakati kamati ya uchunguzi kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama vikiendelea na uchunguzi wa ajali hiyo iliyotokea Mwanza.
Kutokana na ajali hiyo, Waziri Mkuu Majaliwa ameunda Tume ya watu 7 kuchunguza ajali ya MV Nyerere ikiongozwa na Jen. Mstaafu, George Waitara na Mbunge wa Ukerewe, Mkundi
Ameagiza kutangazwa zabuni ya kutengeneza kivuko kipya cha Ukara-Bulogora kitakachobeba abiria zaidi ya 200 na uzito tani 50
Hizi zote ni propaganda za kisiasa......serikali huwezi wewe ndo mmliki wa kivuko tena wewe ndo msimamizi na regulator wa usafiri huo huo, hu nimgogano wa maslahi....la kufanya ni kwamba serikali itoke kwenye hiyo biashara hasa kuendeshe yenyewe iachie ma compuni binafusi, yenyewe ibaki kusimamia ku regulate kuadhibu na kushauri muendeshaji..lkn hapo tuna jidaganya huwezi kua "hakimu katika shauri lako" watu wataendelea kufa nakuendelea kutulaghai na tume za uchanguzi.Wengi tumepokea kwa furaha agizo la kujenga kivuko kipya kitakachowahudumia wakazi wa Ukerewe na visiwa vya jirani.
Ila mimi nanonelea vyema hiyo pesa itumike kujenga vivuko viwili vya tani 25.
Hii itasaidia wakati wa low season kuweza kujaza kivuko kimoja.
Pia wakati hiki kinaenda hiki kingine kitakuwa kinarudi.
Kujenga kivuko kimoja kikubwa kunaweza kusababisha kikaendeshwa kwa hasara wakati ambapo mahitaji ya usafiri ni madogo.
Otherwise pongezi nyingi zimfikie mheshimiwa kwa jinsi alivyolishughulikia suala hili...
Apewe Mbowe akiendeshe.Hizi zote ni propaganda za kisiasa......serikali huwezi wewe ndo mmliki wa kivuko tena wewe ndo msimamizi na regulator wa usafiri huo huo, hu nimgogano wa maslahi....la kufanya ni kwamba serikali itoke kwenye hiyo biashara hasa kuendeshe yenyewe iachie ma compuni binafusi, yenyewe ibaki kusimamia ku regulate kuadhibu na kushauri muendeshaji..lkn hapo tuna jidaganya huwezi kua "hakimu katika shauri lako" watu wataendelea kufa nakuendelea kutulaghai na tume za uchanguzi.
Huyu sio Dr. Mgwatu...very sad he has gone down with the catastrophe.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa Temesa, Mussa Mgwatu kupisha uchunguzi.View attachment 876120
Wewe umesha athirika na siasa unafikiri kila mtu ana mtizamo wa vyama na siasa samahani.Apewe Mbowe akiendeshe.
Haya ndo tunalalamikia. Naangalia utendaji kazi za kila siku kwa majeshi yetu. Hivi kweli mstaafu wa jeshi alipewa kuwa M/kiti wa bodi ya ushauri wa TEMESA! Ana uzoefu gani kazini, amewahi kufanya utafiti gani, ni wapi amewahi kujieleza kitaalamu na baadaye kustaafu ni wapi utaalamu wake unahitajika kiasi hicho?
Tunaliangusha taifa wenyewe kwa kuamini kuna watu fulani lazima wapewe kazi ya kufanya bila kujali gharama kwa taifa na sasa maisha ya watu.
Nimetoa mchango huru kama wengine. Toka zako huko, usinipangie cha kuandika.Wewe umesha athirika na siasa unafikiri kila mtu ana mtizamo wa vyama na siasa samahani.
Ameagiza kutangazwa zabuni ya kutengeneza kivuko kipya cha Ukara-Bulogora kitakachobeba abiria zaidi ya 200 na uzito tani 50
kadagala1, serikali na tume ni sawa na ukristo na BibliaTume zitaundwa hadi lini????