figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
kuna jali imetokea kwenye daraja la mto kizinga barabara ya kwenda mbagala na kilwa. Ni kati ya isuzu journey(daladala) na pickup toyota. pickup ilikua inaingia barabara kubwa ndo ikagongwa na kusukumwa hadi kwenye kingo za daraja.hali hii imesababisha foleni kwa magari yaendayo mbagala. sijajua watu wangapi wameumia. Mia